Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Cotton sports vs Al Ahly inachezwa Cameron, na ndio game inayofuata tareh 17, Kuna uwezekano Game ya Al Ahly vs Al hilal ya Sudani ikamkuta Al Ahly kashafungasha virago vyake
Hao coton ni kama vipers anapigwa tena hata Al hilal kachukua point SITA hapo.
 
Kwasababu ya historia yao kwamba wanashindwaga robo au kwasababu unawamudu kiuwezo?
Kwasababu Mamelod kiubora yupo chini sana kulinganisha na Al Ahly na history ya michuano pia inawabeba ni sawa na kukutana na R.Madrid kwenye mtoano kule Uefa
 
Sasa usibishane na wanaojua mpira, wew hujui hata mmiliki wa Mamelodi ndio raisi wa caf? Na ndio Aliyekuwa ana mkula Barbara wa Simba paka kampa mimba?
Hujui kwanini Simba alikuwa anapata upendeleo wa ratiba hatua za mtoano?
Upumbavu huu na wewe ninakuita pumbavu
 
Kama Al Hilal atamfunga mamelod Sudan ni wazi Al Ahly shughuli yake itakuwa imeishia hapa lakini kwa ninachokiona mpaka sasa bado wana nafasi nzuri ya kusonga
Al hilal kaimarika sana mkuu, kapoteza game 1 tu tena kwa goli Moja dhidi ya hawa Mamelodi Tena game ikichezwa hapo south, sidhani kama atashindwa kupata droo nyumban dhidi ya mamelodi
 
Hawa Al alhy Bora watoke mana wakifika huko mtoano wanakuwa kama Madrid
 
Al hilal kaimarika sana mkuu, kapoteza game 1 tu tena kwa goli Moja dhidi ya hawa Mamelodi Tena game ikichezwa hapo south, sidhani kama atashindwa kupata droo nyumban dhidi ya mamelodi
Anapigwa hapo hapo Sudan
 
Kwasababu ya historia yao kwamba wanashindwaga robo au kwasababu unawamudu kiuwezo?
Mkuu Mollel kwenye hii michuano miaka mitano iliyopita unaweza nitajia mwaka ambao walikuwa vibaya hao Mamelod lakini jiulize wamecheza fainali ngapi au kufika nusu mara ngapi za klabu bingwa kwenye hiyo miaka mitano iliyopita
Hao ni Man city wa Africa
 
Al hilal kaimarika sana mkuu, kapoteza game 1 tu tena kwa goli Moja dhidi ya hawa Mamelodi Tena game ikichezwa hapo south, sidhani kama atashindwa kupata droo nyumban dhidi ya mamelodi
Akipata droo kaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ