OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sisi wengine tukifungwa 3 inakuwa kama tumefukuzwa duniani. Haya sasa mnasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubahiri ndo tatizoKumbe anatokea Namibia tu hapo!
Sijui timu zetu za kariakoo zinafeli wapi kupata wachezaji kama huyu hadi kwenda kuparamia akina Chikwende
Alifungwa goli moja tu hivyo kama atashinda kwa tofauti ya goli mbili (2-0, 3-1, 4-2) anakuwa kamzidi Al Hilal kwenye head to headHead to head Al ahly mechi ya Kwanza alifungwa pale Khartoum Sudan
Mwenzio kapigiwa ugenini wewe umepigiwa tatu kwako hapo hapo.Sisi wengine tukifungwa 3 inakuwa kama tumefukuzwa duniani. Haya sasa mnasemaje
Ule ulikuwa ni ushauri wa Ashura Cheupe!!!mara waote moto katikati ya uwaja
Petro 0-2 WaydadMwenzio kapigiwa ugenini wewe umepigiwa tatu kwako hapo hapo.
hapo kwa odergard umepatia sanaHabari za mda huu wakubwa
Leo itakuwa mechi ya ki historia apo BONDENI
ALAHALY CAIRO watakuwa wageni wa mamelody sundown MASANDAWANA
ikimbukwe mechi ya kwanza al ahaly alilazimisha sare akiwa kweke je leo kipi kitampata?
Wapenzi wa simba na yanga kaeni kitako muangalie mpira safi kutoka vijana wa MAMELODY
MAIULA uyu ata Manchester United anaaza winger ya Antony
PETER SHALULILR anacheza number 9 ya nunez Liverpool
NEO MAEMA ukimuangalia kwa umakini unaweza mkataa Martin odergard wa arsenal
View attachment 2545799
Mbna ana makalio na hips, na alivyo jibinua sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kapiga goal 2View attachment 2546563