Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Head to head Al ahly mechi ya Kwanza alifungwa pale Khartoum Sudan
Alifungwa goli moja tu hivyo kama atashinda kwa tofauti ya goli mbili (2-0, 3-1, 4-2) anakuwa kamzidi Al Hilal kwenye head to head
 
Wazee wenye mipango mingi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja,mara warudi kinyumenyume, mara waote moto katikati ya uwaja yaani vituko tupu na wakiendelea na imani hizo watapasuka nyingi.
 
Al Hilal alifungwa Moja tu na Mamelody jamaa wanajua sana kucheza defensive football kitu ambacho naona Ibenge atakifanya kwa mechi zilizobaki na defensive Yao ni wanaanza kukabia kwako Lilepo,yule Capt na Jarju hawaruhusu winger zako na beki kupanda
Mamelody atapata draw Sudan na Al Alhly anaweza kufungwa kwao maana atafunguka ili ashinde
 
Habari za mda huu wakubwa

Leo itakuwa mechi ya ki historia apo BONDENI

ALAHALY CAIRO watakuwa wageni wa mamelody sundown MASANDAWANA
ikimbukwe mechi ya kwanza al ahaly alilazimisha sare akiwa kweke je leo kipi kitampata?

Wapenzi wa simba na yanga kaeni kitako muangalie mpira safi kutoka vijana wa MAMELODY

MAIULA uyu ata Manchester United anaaza winger ya Antony

PETER SHALULILR anacheza number 9 ya nunez Liverpool

NEO MAEMA ukimuangalia kwa umakini unaweza mkataa Martin odergard wa arsenal

View attachment 2545799
hapo kwa odergard umepatia sana
 
Back
Top Bottom