Mamelody yaibua utata tena dhdi ya Cape Town Spurs.

Mamelody yaibua utata tena dhdi ya Cape Town Spurs.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Pichani ni mchezaji wa Cape Town spurs akimchezea rafu mshambuliaji wa Mamelodi Sundowns Peter Shalulile nje ya box ambapo jambo lililostua wengi na kuzua taharuki ni kwamba mwamuzi wa mchezo huo aliamuru penalti iliyowapa ushindi wa goli 1 Mamelodi Sundowns.

Penalti hiyo imekuwa gumzo kubwa mitandaoni nchini Afrika Kusini mashabiki wa soka wanasema Mamelodi Sundowns inaua soka la Afrika kwa kutumia waamuzi kushinda mechi zake. Huu ni ushahidi mwingine kwamba kukataliwa goli halali la Aziz Ki haikuwa bahati mbaya, ulikua mpango wa makusudi kabisa na klabu ya Mamelodi Sundowns imehusika.

Tukio la jana limeibua hasira kali huku mashabiki wengi wakitaka shirikisho la soka Afrika CAF kufanya uchunguzi mkali dhidi ya klabu ya Mamelodi Sundowns pia wakitaka mmiliki wa klabu hiyo ambaye pia ndio rais wa CAF bilionea Patrick Motsepe kuachia ngazi mara moja kwakua inawezekana ndio mastermind wa matukio haya ya upangaji matokeo ya Mamelodi Sundowns

Ni dhahiri sasa kibaka Mamelodi Sundowns amedakwa hadharani tena akiiba msikitini awamu hii hachomoi, hii unaitaje penalti mdau?
 

Attachments

  • FB_IMG_17127293722693463.jpg
    FB_IMG_17127293722693463.jpg
    237.7 KB · Views: 4
Pichani ni mchezaji wa Cape Town spurs akimchezea rafu mshambuliaji wa Mamelodi Sundowns Peter Shalulile nje ya box ambapo jambo lililostua wengi na kuzua taharuki ni kwamba mwamuzi wa mchezo huo aliamuru penalti iliyowapa ushindi wa goli 1 Mamelodi Sundowns.

Penalti hiyo imekuwa gumzo kubwa mitandaoni nchini Afrika Kusini mashabiki wa soka wanasema Mamelodi Sundowns inaua soka la Afrika kwa kutumia waamuzi kushinda mechi zake. Huu ni ushahidi mwingine kwamba kukataliwa goli halali la Aziz Ki haikuwa bahati mbaya, ulikua mpango wa makusudi kabisa na klabu ya Mamelodi Sundowns imehusika.

Tukio la jana limeibua hasira kali huku mashabiki wengi wakitaka shirikisho la soka Afrika CAF kufanya uchunguzi mkali dhidi ya klabu ya Mamelodi Sundowns pia wakitaka mmiliki wa klabu hiyo ambaye pia ndio rais wa CAF bilionea Patrick Motsepe kuachia ngazi mara moja kwakua inawezekana ndio mastermind wa matukio haya ya upangaji matokeo ya Mamelodi Sundowns

Ni dhahiri sasa kibaka Mamelodi Sundowns amedakwa hadharani tena akiiba msikitini awamu hii hachomoi, hii unaitaje penalti mdau?
Timu ya boss hii. Inashinda kwa vimemo.
 
Hata Yanga aliwahi kupewa penati kama hiyo dhidi ya Geita naye ni Kibaka bila shaka mkuu

Naona maumivu bado hayajaisha
 

Attachments

  • Screenshot_20240410_092408.jpg
    Screenshot_20240410_092408.jpg
    322 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240410_092412.jpg
    Screenshot_20240410_092412.jpg
    209.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240410_092408.jpg
    Screenshot_20240410_092408.jpg
    322 KB · Views: 6
Mbona hata nyinyi Yanga mmesha pewa penalty za aina hiyo zaidi ya mara 2 na haukuja kuanzisha uzi?
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Wa kulaumiwa sio refa wala Mamelodi bali ni sheria za hovyo za soka duniani.

Pia, mashabiki wa soka kote duniani ni wabaya kuliko waamuzi kwasabab tumeshindwa kuungana kutaka hizi sheria na kanuni za soka kutazamwa upya.

Haya mambo hayakuanza leo na yataendelea as long as sheria na kanuni za soka zitabaki kama zilivyo.

Kuna mtu alifunga goli la mkono na bado anasifiwa na mashabiki wa soka kwasababu tu yeye alikuwa maarufu.

Tatizo la maamuzi mabovu kwenye soka wa kulaumiwa ni sisi mashabiki, sheria na kanuni za soka kisha ndio wafuate waamuzi wa soka.

Leo hii tunalaumu waamuzi waliokuwa kwenye chumba cha VAR kwa maamuzi yao dhidi ya Yanga kwenye mechi ya Yanga na Mamelodi, ila ni sisi sisi mashabiki wa soka baadhi yetu tulikuwa tunasema VAR imekuja kuaribu soka/ladha ya mchezo.

Kwa msingi huo, tukubali basi ladha ya mchezo ni pamoja na maamuzi mabovu ya marefa kwasababu hatutaki solution na tunasahau binadamu ni kiumbe dhaifu anaweza kutumika au hata kukosea na kufanya maamuzi yasiyo sahihi ama kwa makusudi au vinginevyo.
 
Pichani ni mchezaji wa Cape Town spurs akimchezea rafu mshambuliaji wa Mamelodi Sundowns Peter Shalulile nje ya box ambapo jambo lililostua wengi na kuzua taharuki ni kwamba mwamuzi wa mchezo huo aliamuru penalti iliyowapa ushindi wa goli 1 Mamelodi Sundowns.

Penalti hiyo imekuwa gumzo kubwa mitandaoni nchini Afrika Kusini mashabiki wa soka wanasema Mamelodi Sundowns inaua soka la Afrika kwa kutumia waamuzi kushinda mechi zake. Huu ni ushahidi mwingine kwamba kukataliwa goli halali la Aziz Ki haikuwa bahati mbaya, ulikua mpango wa makusudi kabisa na klabu ya Mamelodi Sundowns imehusika.

Tukio la jana limeibua hasira kali huku mashabiki wengi wakitaka shirikisho la soka Afrika CAF kufanya uchunguzi mkali dhidi ya klabu ya Mamelodi Sundowns pia wakitaka mmiliki wa klabu hiyo ambaye pia ndio rais wa CAF bilionea Patrick Motsepe kuachia ngazi mara moja kwakua inawezekana ndio mastermind wa matukio haya ya upangaji matokeo ya Mamelodi Sundowns

Ni dhahiri sasa kibaka Mamelodi Sundowns amedakwa hadharani tena akiiba msikitini awamu hii hachomoi, hii unaitaje penalti mdau?
Hao ni kama yanga tu huku bongo!
 
Hata Yanga aliwahi kupewa penati kama hiyo dhidi ya Geita naye ni Kibaka bila shaka mkuu

Naona maumivu bado hayajaisha
Umesahau penati waliyopewa baada ya Onyango kuchezea rafu Kisinda Tena waamuzi walikuwa sita.
Penati waliyopewa dhidi ya Namungo baada ya Feitoto kujiangusha bila kuguswa.
Kwa kifupi yanga ni sawa na last born wanapenda kudekezwa.
 
Sasa hapa yanga kaigiaje?? Bado mnamaumivu wakati CAF washatoa maakuzi halikua goli?? Mngeshinda penalties basi
CAF wametoa lini hiyo taarifa kuwa sio goli na wamesema sababu ipi iliyofanya isiwe goli? Vipi wamesemaje kuhusu refa kumpa mpira kipa aanzishe wakati ulikuwa umetoka nje?
 
So waandike nao barua ya malalamiko kwenda CAF wakituhumu kuwa ni match fixing.
 
Back
Top Bottom