Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Kuna meneja wa Exim tawi fulani hapa Dar nilimkata makofi hadharani kwa huu ujinga wa kuamini ukiwa meneja basi utazichakata papuchi hata za wake za watu kirahisi..alikua anamtongoza mke wangu kamtongoza weee mke wangu kila siku anamkatalia mpaka siku ilibidi anionyeshe text zake za mitongozo kesho yake kilichompata anajua mwenyewe..oya we meneja kama upo humu mimi ndo yule mbabe wako wa mwaka jana😂😂
 
Siyo tu benk, hata ukiwa wakala wa tigopesa utawatembezea rungu mpk huruma (wanakuwa na mentality kuwa muda wote una hela na ni sifa kwao kuwa natembea na bwana anafanya kaz benki).. Wanawake wanapenda security na sifa kwa jamii.. Ndyo mana anaweza kumsalit mume tajiri kwa kijana mnyonga tai wa benki.. Kuna bwana mmoja mwenye pesa nying, alimfumania mkewe akiliwa na meneja wa benk, akamtisha bastola, meneja wa benk akajinyea...
Wauza kiepe naooooo

Ova
 
Dada zetu sijuhi lini mwalimu wao ata kuwa anaona!
Yani akipigiwa simu na Meneja wa banki amtembelee ofisini kesho yake analiwa kilaini....

Kuna jamaa yangu jirani hapa anawamega hatari
Watoto wakali balaa mtu hadi unafikiria ufanye Banking dah..
Wasameheni tu wanajua mameneja pesa ni zao masikini dah..

Badilikeni dada zetu.

Sasa waonewe huruma ya nini wakati raha wanapata wote?

Labda kama manager huwa anabaka
 
Dada zetu sijuhi lini mwalimu wao ata kuwa anaona!
Yani akipigiwa simu na Meneja wa banki amtembelee ofisini kesho yake analiwa kilaini....

Kuna jamaa yangu jirani hapa anawamega hatari
Watoto wakali balaa mtu hadi unafikiria ufanye Banking dah..
Wasameheni tu wanajua mameneja pesa ni zao masikini dah..

Badilikeni dada zetu.
ufanye banking hauna qualifications?

komaa na Ualimu tu uwatafune wanafunzi wa la 3
 
sasa bona na wewe usiwe manager wa bank? hii ni machungu tu uko nayo, najua hao mabinti wamekukataa maana hela huna, wakikuona wanasepa, kwahivyo acha watu watafunwe mpaka pale hao mamanager watakapochoka
anaishi kwa dada
 
Siyo tu benk, hata ukiwa wakala wa tigopesa utawatembezea rungu mpk huruma (wanakuwa na mentality kuwa muda wote una hela na ni sifa kwao kuwa natembea na bwana anafanya kaz benki).. Wanawake wanapenda security na sifa kwa jamii.. Ndyo mana anaweza kumsalit mume tajiri kwa kijana mnyonga tai wa benki.. Kuna bwana mmoja mwenye pesa nying, alimfumania mkewe akiliwa na meneja wa benk, akamtisha bastola, meneja wa benk akajinyea...
picha ya mavi please
 
Wanaume wenyewey tupo wachache muache jamaa ajilie vyake awape mimba wazae walee ss tutakujaoa masingle mother hao baadaye.
 
Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe

We utakuwa umeolewa wewe, unajifanya kutuhurumia wanaume kumbe lengo mmeo asikwapuliwe tu na vi-slay queen.... umesahau msoto wanaopitia hao wadada sio makanisani hadi kwa waganga ili kunasa madanga.
 
Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe
Tumekusikia na tutalifanyia kazi
 
Daaah sentensi yamwisho imenifurahisha sana
Kuna meneja wa Exim tawi fulani hapa Dar nilimkata makofi hadharani kwa huu ujinga wa kuamini ukiwa meneja basi utazichakata papuchi hata za wake za watu kirahisi..alikua anamtongoza mke wangu kamtongoza weee mke wangu kila siku anamkatalia mpaka siku ilibidi anionyeshe text zake za mitongozo kesho yake kilichompata anajua mwenyewe..oya we meneja kama upo humu mimi ndo yule mbabe wako wa mwaka jana[emoji23][emoji23]
 
taratibu mkuu, lakini umemwambia ukweli mtupu, pili pili usioila yakuwasa nini? au hao dada ni mabinti wake, lakini ukichunguza sana huyu aliyeleta hii taarifa hapa hao kina dada wamemukataa, sasa hii ni machungu yake tu
Thubutu....waulize mashoga zako watakuambia.
Wanavyotamani V8 hasa yule dadako mfupi ila si mpend mnene sana
 
Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe
Kweli mama
 
Back
Top Bottom