Accidental Genius
Senior Member
- Aug 17, 2019
- 154
- 188
Mkuu kiwanja ninacho mlete kwanguMkuu kuna jamaa yangu mkenya alishaniomba nimfanyie mpango apate pasi ya Tanzania,kuna mwingine juzi kati tu kaniomba nimfanyie mpango anunue kiwanja bongo tena akaenda mbali zaidi yuko tayari hata kuoa dada wa kitanzania ili mradi tu atimize ndoto yake ya kuishi bongo!
Ahhahahaahhaha daaaaah.Kwanza katiba ya Kenya hairuhusu ushoga Ila haibagui mtu Kwa maumbile, jinsia au tabia . Kuwepo Kwa kesi mahakamani ni ishara kwamba Kenya ni nchi ambayo inaendeshwa Kwa mjibu wa katiba, na ni lazima katiba ifatwe,Kwanza Ile nchi ya Kwanza hapa Africa ambayo Itakua kama Thailand ni Tanzania maana 90% ni mashoga na ushahidi upo.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Heri ujambazi kuliko ombaomba. π π πNjoo chukua wajomba zako wamejaa katika magereza ya Tanzania kwasababu ya wizi na ujambazi.
Kwasababu mumezoea kupigana risasi hadharini, hamjazoea Amani, ndio sababu POLISI wenu wanaongoza kwa kuwapiga risasi raia wasio na makosa. Failed state.Heri ujambazi kuliko ombaomba. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nanyi mmezoea umaskini. Failed state.Kwasababu mumezoea kupigana risasi hadharini, hamjazoea Amani, ndio sababu POLISI wenu wanaongoza kwa kuwapiga risasi raia wasio na makosa. Failed state.
Hii ni Dharau sasa, Umewahi kuishi Kenya mkuu, Umewahi ku evaluate, circulation ya pesa Kati ya Kenya na Tanzania?Kweli kabisa ulivyosema, kama Tanzania ikiruhusu wakenya kuja kuishi Tanzania, ninahisi hata Uhuru Kenyatta atauvua urais wake kuja kuishi ktk nchi ya maziwa na asali.
Hiyo siyo sababu za kuwa underate wakenya eti wana maisha magumu, last month nilikuwa US, nikashangaa jamaa mmoja yupo Louisiana ana struggle kuhamia Mexico na familia yake.Mkuu kuna jamaa yangu mkenya alishaniomba nimfanyie mpango apate pasi ya Tanzania,kuna mwingine juzi kati tu kaniomba nimfanyie mpango anunue kiwanja bongo tena akaenda mbali zaidi yuko tayari hata kuoa dada wa kitanzania ili mradi tu atimize ndoto yake ya kuishi bongo!
Acha kuzungumza vitu usivyovijua wewe.Hii ni Dharau sasa, Umewahi kuishi Kenya mkuu, Umewahi ku evaluate, circulation ya pesa Kati ya Kenya na Tanzania?
Kenya iko vizuri kabisa kiuchumi, wewe Hujui mengi uko kisiasa tu.