Mamilioni ya Wamarekani wamearifiwa kujiandaa kwa hali ya hewa ya majira ya baridi

Mamilioni ya Wamarekani wamearifiwa kujiandaa kwa hali ya hewa ya majira ya baridi

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Mamilioni ya Wamarekani wamearifiwa kujiandaa kwa hali ya hewa ya majira ya baridi. Jimbo la West Virginia limejiunga na majimbo mengine matano kutangaza hali ya dharura.

Baadhi ya picha zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha ndege zimefunikwa na theuji na kusabisha safari 2,000 za ndege kuahirishwa.

Kentucky, Virginia, Kansas, Arkansas na Missouri zimetangaza hali ya dharura.

Majimbo 30 ya Marekani yanayoanzia katikati mwa nchi hadi Pwani ya Mashariki - ikiwa ni pamoja na miji mikuu kama Washington DC na Philadelphia - yanatarajiwa kushuhudia hali ya baridi kali.
 

Attachments

  • FB_IMG_1736151018023.jpg
    FB_IMG_1736151018023.jpg
    26.1 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1736151020119.jpg
    FB_IMG_1736151020119.jpg
    27.1 KB · Views: 3
Ni muda sasa Tz tukapokea wakimbizi kutoka U.S.A.

Mmarekani asiye na angalau USD$ million moja hataruhusiwa kukanyaga Tz hatutaki wazungu maskini.Maskini wa kimarekani waendelee kuganda tu hakuna namna.

Sisi tukitaka kwenda kwao wanabana kama vile US ni mbinguni.
 
Ni muda sasa Tz tukapokea wakimbizi kutoka U.S.A.

Mmarekani asiye na angalau USD$ million moja hataruhusiwa kukanyaga Tz hatutaki wazungu maskini.Maskini wa kimarekani waendelee kuganda tu hakuna namna.

Sisi tukitaka kwenda kwao wanabana kama vile US ni mbinguni.
Kule mnapigwa sijui TOEFIL; na ninyi muwapige KIPEEF (Kiswahili Proficiency Entry Exam for Foreigners). Asiyefaulu aishie huko huko 🤣
 
Kule mnapigwa sijui TOEFIL; na ninyi muwapige KIPEEF (Kiswahili Proficiency Entry Exam for Foreigners). Asiyefaulu aishie huko huko 🤣
Yaani tutawanyanyasa mbaya mbovu😁😁😁

Wengine tunawanyima VISA maksudi tunawaambie warudie kuapply upya next time,wanatakiwa kwanza wastate Tz wanakuja kufanya nini hatutaki wazururaji sisi😎 yaani mpaka waseme😄
 
Working from home over here, kutoka nje utake mwenyewe tu. Labda weekend shopping tu ambayo mimi nilishajiandaa kwa kujua hii storm inakuja.

Shukurani kwa kujali.
 
Yaani tutawanyanyasa mbaya mbovu😁😁😁

Wengine tunawanyima VISA maksudi tunawaambie warudie kuapply upya next time,wanatakiwa kwanza wastate Tz wanakuja kufanya nini hatutaki wazururaji sisi😎 yaani mpaka waseme😄
Hiyo pepa iwe ghali sana na 99% wachinjiwe baharini. Ita-boost mapato. Wanaoleta mitaji ya maana wawe excempted. So either you bring money or you pass the exam.
 
Lakini serikali yao inapeleka silaha za mabilioni ya DOLA ISRAEL?!
HII DUNIA KAZI SANA KUIELEWA!
 
....they got money for WAR but not for their own people....! Tupac Shakur
 
....they got money for WAR but not for their own people....! Tupac Shakur
Hakuna mmarekani atakayekufa kizembe kwa hali mbaya ya hewa. Ikitokea baadhi wakapoteza maisha sio kwa sababu serikali haikujali; ni kwa sababu imekuwa nje ya uwezo wa binadamu.
 
Working from home over here, kutoka nje utake mwenyewe tu. Labda weekend shopping tu ambayo mimi nilishajiandaa kwa kujua hii storm inakuja.

Shukurani kwa kujali.
Pole sana

Rudi tu nyumban kwa sasa au nauli changamoto
 
Winter storm ni kitu mbaya sana kwa sababu ina shut down miundombinu, watu mnakuwa mnakaa ndani kama mchwa vile ndani ya vichuguu...
 
Pole sana

Rudi tu nyumban kwa sasa au nauli changamoto
Unanipa pole ya nini? Haya ndiyo maisha niliyotaka, dunia nzima ni nyumbani kwangu.

Huku pia ni nyumbani, napokea vijana wanaokuja college huku wanakuwa wana nyumba ya kufikia Marekani.

Unanipa pole ya nini mkuu huku mwenzio napiga hela bila hata kufungua mlango kwenda kazini?
 
Unanipa pole ya nini? Haya ndiyo maisha niliyotaka, dunia nzima ni nyumbani kwangu.

Huku pia ni nyumbani, napokea vijana wanaokuja college huku wanakuwa wana nyumba ya kufikia Marekani.

Unanipa pole ya nini mkuu huku mwenzio napiga hela bila hata kufungua mlango kwenda kazini?
Tupeane michongo bas huko
 
Tupeane michongo bas huko
Hata wewe ukipata nafasi ya kupita New York City niambie kama una haja ya pa kufikia naweza kukupa hifadhi.

Nishawapa hifadhi watu wakubwa sasa hivi mabalozi huko Tanzania.
 
Hakuna mmarekani atakayekufa kizembe kwa hali mbaya ya hewa. Ikitokea baadhi wakapoteza maisha sio kwa sababu serikali haikujali; ni kwa sababu imekuwa nje ya uwezo wa binadamu.
Wapo wanaokufa kwa kukosa makazi
 
Hata wewe ukipata nafasi ya kupita New York City niambie kama una haja ya pa kufikia naweza kukupa hifadhi.

Nishawapa hifadhi watu wakubwa sasa hivi mabalozi huko Tanzania.
Kiranga umeishi U.K ?
 
Back
Top Bottom