Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Hapana mkuu nilikuwa nauliza tuKwa nini mkuu, unaniweka kwenye target nijae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu nilikuwa nauliza tuKwa nini mkuu, unaniweka kwenye target nijae?
Hapana mkuu, mimi nakaa Marekani, Uingereza nilipita tu.Hapana mkuu nilikuwa nauliza tu
Nilijua U.K mkuuHapana mkuu, mimi nakaa Marekani, Uingereza nilipita tu.
YULE BWEGE MBONA HALI YA HEWA NI VITU VYA KAWAIDA TUKwani kutopeleka silaha Israel kungebadili Hali ya hewa?
hamia huuko marekani utuachie nchi yetu nzuri yenye maziwa na asaliHuku joto linaleta mifangasi sugu tu hata kuitibu mtihani.
sawa mmarekani kutoka bonyokwa naona unaitetea mbingu yako inayoitwa marekaNIHakuna mmarekani atakayekufa kizembe kwa hali mbaya ya hewa. Ikitokea baadhi wakapoteza maisha sio kwa sababu serikali haikujali; ni kwa sababu imekuwa nje ya uwezo wa binadamu.
Kwani umeambiwa kuna vifo vya njaa? Halafu hiyo hali ya hewa inaathiri outdoors activities. Maisha mengine yanaendelea kama kawaida, besides ni kawaida ya kila winterLakini serikali yao inapeleka silaha za mabilioni ya DOLA ISRAEL?!
HII DUNIA KAZI SANA KUIELEWA!
Nenda kachukue ARVs huko!sawa mmarekani kutoka bonyokwa naona unaitetea mbingu yako inayoitwa marekaNI
POVU WE UNAFIKIRI HAO WAMAREKENI WANA AKILI KAMA ZA KWAKO UNADHANI WANATOA MISAADA BURE BURENenda kachukue ARVs huko!
ARVs unazochukua kila wiki umelipia how much?POVU WE UNAFIKIRI HAO WAMAREKENI WANA AKILI KAMA ZA KWAKO UNADHANI WANATOA MISAADA BURE BURE
WE MZEE HAKUNAGA MISAADA YA BURE DUNIA HII TENA KWA HAO WAMAREKANI UNAO WAABUDU