Mamiss Tanzania bila make Ups

Hao hawana mekap za miguuni au za wapi Arifu?
 
Mbona wote wamejipakaa au huon vizuriii


Nasisitiza kuna watu hawaeleweki kama Mrisho Mpoto ! Mana na yeye nyimbo zake anazielewaga yeye tu na wengine wanajifanya kumuelewea !

:msela:

Maisha Mtelezo
 
Nadhani aliyekusudiwa hapa ni Wema tu na si vinginevyo
 
Hapo kdg huyo mama huruma aliyesuka twende kilio ndio naona hana make up ila zote mapowder kwa kwenda mbele.

na sababu alikua anaigiza movie kama yupo kijijini ni picha kutoka kwenye moja ya filamu zake
 
Hivi kweli eeeh??
Irene Uwoya alikua miss Tanzania mwaka gani vilee??
Sitaki kuongelea picha aliyepo Aunt Ezekiel maana waweza sema huyo miss Tanzania yupo nyuma ya huo ukuta
 
Hivi kweli eeeh??
Irene Uwoya alikua miss Tanzania mwaka gani vilee??
Sitaki kuongelea picha aliyepo Aunt Ezekiel maana waweza sema huyo miss Tanzania yupo nyuma ya huo ukuta

Mshiriki wa miss tz top 5 mwaka 2006
 
Wote wana makeups kasoro wema.. Ila jokate anayo isiyokuwa na makeup aliiweka insta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…