Mamlaka badilisheni mwonekano wa mavazi ya wanajeshi wawe nadhifu kama hawa

Mamlaka badilisheni mwonekano wa mavazi ya wanajeshi wawe nadhifu kama hawa

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
f7aed3d389d34dd4b64dbe247aafc095_207865326_1909726915867707_5350727052561388167_n.jpg

To be honest lijapo umakini, nidhamu na hata mwonekano Wanajeshi wa Rwanda wapo mbali sana!

Mwanajeshi wa Rwanda mda wote awapo kazini ni mtu makini na mzingatifu na bila kusahau hupendeza kwa uniform safi kabisa!

KAMWE HUWEZI KUKUTA UNIFORM ZA YULE ZIMEPAUKA AMA ZA HUYO ZIPO VILE. WOTE HUFANANA KWA MIENENDO NA UMAKINI.

Kwenye hiyo picha angalia combat zao suruali za kuchomeka ndani ya kiatu zilivyobamba. Ajabu kwetu askari wa kawaida tu bado wanavaa suruali za kuvalia mokasi.

Bravo RDF kwa hilo.
 
Hivi unadhani hayo mavazi waliweka ili wawe nadhifu au yanaendana na shughuli wanayofanya; Mfano Camouflage au mifuko mingi ili waweke vitu n.k.

Objective sio kuuza sura (hio ni objective ya kazi nyingine kuwa presentable) hayo magwanda camouflage ndio ilikuwa priority...

1687765105462.png


Kwahio usije ukwashauri na hawa wapendeze wakaishia kupigwa risasi
 
R
Hivi unadhani hayo mavazi waliweka ili wawe nadhifu au yanaendana na shughuli wanayofanya; Mfano Camouflage au mifuko mingi ili waweke vitu n.k.

Objective sio kuuza sura (hio ni objective ya kazi nyingine kuwa presentable) hayo magwanda camouflage ndio ilikuwa priority...
RDF wapo vizuri ki kupendeza na uniform zao hata mtaani tunawaona
 
R

RDF wapo vizuri ki kupendeza na uniform zao hata mtaani tunawaona
Hio sio Priority tena wa mtaani inabidi wawe friendly and approachable ambao hawatishi wala huitaji wanajeshi mtaani bali polisi bobby na kifimbo kama hawa wa England; kama ni hali ya hatari basi vitisho itakuwa kwenye menu ndio maana wakipeleka vifaru mtaani sio kwamba wanapanga kuvitumia bali ni kutisha watu wanyenyekee

1687765330769.png
 
View attachment 2669157
To be honest lijapo umakini, nidhamu na hata mwonekano Wanajeshi wa Rwanda wapo mbali sana!

Mwanajeshi wa Rwanda mda wote awapo kazini ni mtu makini na mzingatifu na bila kusahau hupendeza kwa uniform safi kabisa!

KAMWE HUWEZI KUKUTA UNIFORM ZA YULE ZIMEPAUKA AMA ZA HUYO ZIPO VILE. WOTE HUFANANA KWA MIENENDO NA UMAKINI.

Kwenye hiyo picha angalia combat zao suruali za kuchomeka ndani ya kiatu zilivyobamba. Ajabu kwetu askari wa kawaida tu bado wanavaa suruali za kuvalia mokasi.

Bravo RDF kwa hilo.
kwa akili yako ya ki ccm hao ni askari wa kawaida huoni ni kikosi maalum
hujawahi kuona msafara wa mama ukiwa na watu kama hao
 
View attachment 2669157
To be honest lijapo umakini, nidhamu na hata mwonekano Wanajeshi wa Rwanda wapo mbali sana!

Mwanajeshi wa Rwanda mda wote awapo kazini ni mtu makini na mzingatifu na bila kusahau hupendeza kwa uniform safi kabisa!

KAMWE HUWEZI KUKUTA UNIFORM ZA YULE ZIMEPAUKA AMA ZA HUYO ZIPO VILE. WOTE HUFANANA KWA MIENENDO NA UMAKINI.

Kwenye hiyo picha angalia combat zao suruali za kuchomeka ndani ya kiatu zilivyobamba. Ajabu kwetu askari wa kawaida tu bado wanavaa suruali za kuvalia mokasi.

Bravo RDF kwa hilo.
Kwenu huko nini
 
View attachment 2669157
To be honest lijapo umakini, nidhamu na hata mwonekano Wanajeshi wa Rwanda wapo mbali sana!

Mwanajeshi wa Rwanda mda wote awapo kazini ni mtu makini na mzingatifu na bila kusahau hupendeza kwa uniform safi kabisa!

KAMWE HUWEZI KUKUTA UNIFORM ZA YULE ZIMEPAUKA AMA ZA HUYO ZIPO VILE. WOTE HUFANANA KWA MIENENDO NA UMAKINI.

Kwenye hiyo picha angalia combat zao suruali za kuchomeka ndani ya kiatu zilivyobamba. Ajabu kwetu askari wa kawaida tu bado wanavaa suruali za kuvalia mokasi.

Bravo RDF kwa hilo.
Nje ya mada hivi Rwanda huwa kuna uhalifu au ujambazi wa kutumia silaha???
 
Wana mavazi mengi mavazi uendana na shuguli wanazofanya kwa muda huo
Yes! Upo sahihi sana. Sasa utamuwekea vazi linaloambatana na vifaa asivyoweza tumia ukizingatia huku kwetu potential requirement ni Div Four au Zero kabsaaa
 
Jina lenyewe kichefu chefu ndio uje ushauri mambo ya jeshi Nenda kashauri green guard huko .
 
Kwa akili hizi usikute unataka wavae jinzi za kuchanika tena model
Anyway mi naona huwa wako sawa sana
 
Yes! Upo sahihi sana. Sasa utamuwekea vazi linaloambatana na vifaa asivyoweza tumia ukizingatia huku kwetu potential requirement ni Div Four au Zero kabsaaa
Elimu Sio kigezo Kama ajira maana wanafundishwa upya elimu ya ujeshi ni tofaut na elimu hizi pia kuna vitengo vingi tu elimu Sio sifa.
Jeshi halitakiwi kuwa na wasomi wasomi hawana utii,kazi ya jeshi ni kutii amri hata kisicho sahihi kwako,pia wasomi utumia jeshi Kama njia kuelekea kwenye malisho mazuri
 
Wanauza sura. Kuwa na amani nchi iko kwenye mikono salama. Ila sisiem ni janga la kitaifa
 
Back
Top Bottom