Mamlaka husika chunguzeni hili la Ziwa Nyasa

Mamlaka husika chunguzeni hili la Ziwa Nyasa

HISTAMINE

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
477
Reaction score
1,135
sketch-1644128100795.png



Katika kuperuzi peruzi kwenye google map nimeshtushwa kuona mpaka na jina la ziwa Nyasa vikionekana kama nilivyoattach hapo juu. Hii imekaaje wadau? Naomba mamlaka husika itupe ufafanuzi. Nawasilisha.
 
Hao ni wakina nani wanachukua maji yote ya ziwa Nyasa , Wakianzisha vurugu Malawi itakuwa koloni la Tz, Vipi kwani watanganyika wanazuiwa kutumia maji ya lake Nyasa, au shughuli za kiuchumi hazifanyiki ziwa Nyasa na watanganyika.
 
Hao ni wakina nani wanachukua maji yote ya ziwa Nyasa , Wakianzisha vurugu Malawi itakuwa koloni la Tz, Vipi kwani watanganyika wanazuiwa kutumia maji ya lake Nyasa, au shughuli za kiuchumi hazifanyiki ziwa Nyasa na watanganyika.
Mkuu, pamoja na shughuli kiendelea kufanyika ila naona kama hapo mbeleni mgogoro utazuka kwa upya. Kwa ku label hivyo bila shaka hawa Malawi kuna kitu wanaplan sio bure. Na sijui kwanini Tz tupo kimya juu ya hili.
 
Hii nchi imelaaninwa chini ya ccm..cheap politics na ufisadi..mapambio na utukufu kwa mwenyekiti ndicho wanachojua.

Kimsingi mbowe sio gaidi hata wao wanajua inshu ni kua mbowe katishia kuweka mchanga kwenye kitumbua chao kupitia dai la katiba mpya..ambayo wanajua fika siku ikipitishwa ndio ukomo wa ufisadi na wizi katika nchi hii.

Suala la ziwa nyasa..lile ziwa lina mafuta..mmalawi anataka alichukue lote...naamini hawezi ila shida tunampuuzia nadhani kwa sababu hakuna mgogoro na wananchi wanaotumia ziwa hilo upande wa tz..ila pia hili suala sio la kupuuzia.

#MaendeleoHayanaChama
 
View attachment 2109716


Katika kuperuzi peruzi kwenye google map nimeshtushwa kuona mpaka na jina la ziwa Nyasa vikionekana kama nilivyoattach hapo juu. Hii imekaaje wadau? Naomba mamlaka husika itupe ufafanuzi. Nawasilisha.
Isikupe shida Malawi wanaliita Lake Malawi; Tanzania tunaliita Lake Nyasa; na Mozambique wanaliita Lake Niassa!
 
hichi kitu kina nishangaza sana
Ingawaje ziwa ni letu pia......ila hata kama lisingekuwa letu yaani nimepakana nalo halafu nisilitumie??

Hapo cha kufanya majeshi yote Tz hadi ya zimamoto ikiwezekana yatumwe malawi washikishwe adabu vizuri
 
Back
Top Bottom