Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Vyote viwili! Jina la ziwa siyo haki miliki ya Malawi, mabadiliko yo yote lazima yashirikishe nchi zote.Shida ni jina au mpaka mahali ulipo?
Mpaka upo katikati ya ziwa na siyo huo mpaka fake uliowekwa hapo. Ndiyo sababu Malawi imefungua kesi mahakama ya kimataifa kutaka kuuhamisha na kuuweka pembeni!