Mamlaka husika chunguzeni hili la Ziwa Nyasa

Mamlaka husika chunguzeni hili la Ziwa Nyasa

Tangu enzi za mkoloni ziwa nyasa ni mali ya malawi, dunia yote inajua hivyo isiokuwa Tz tuu. Kwa takriban miaka 60 tangu tupate uhuru tumeshindwa kulishugulikia jambo hili either kwa heri au sharii………
 
Dotted line ni kiashilia district boundary na angalia hiyo line ya kuonesha mpka wa nchi ni heavy line na sio doted, mjifunza kusoma Raman na kuitafsiri
 
Msiyaamshe ya kuyaamsha,wamalawi si mnawajua??

Mtuacheni
FB_IMG_16395082089930465.jpg
 
hichi kitu kina nishangaza sana
Ingawaje ziwa ni letu pia......ila hata kama lisingekuwa letu yaani nimepakana nalo halafu nisilitumie??

Hapo cha kufanya majeshi yote Tz hadi ya zimamoto ikiwezekana yatumwe malawi washikishwe adabu vizuri
Nyie mpo huko dar mmetulia tu,
 
Hilo ziwa limeingia karibuni inchi 3
Kikubwa kila nchi itambue na kuilewa
Mipaka yake tu...
Kama maji yanayomwagwa kuelekea kuingia ziwani hapo
Maji mengi yanatokea tanzania

Ova
 
Ukiona kwenye ramani kuna mstari
"dotted" au " dashed" ina maana kuna jambo hapo, huoni mstari ule ule kule juu upo tofauti, punguzeni presha mtapasuka kama puto bure.
Wakurochi, kurochi kumehamishiwa Nyasaland utabaki na kurochi kwa mtoni.
 
Tangu enzi za mkoloni ziwa nyasa ni mali ya malawi, dunia yote inakua hivyo isiokuwa Tz tuu. Kwa takriban miaka60 tangu tupate uhuru tumeshindwa kulishugulikia jambo hili either kwa heri au sharii………
Wasalimie Nkatabay
 
View attachment 2109716


Katika kuperuzi peruzi kwenye google map nimeshtushwa kuona mpaka na jina la ziwa Nyasa vikionekana kama nilivyoattach hapo juu. Hii imekaaje wadau? Naomba mamlaka husika itupe ufafanuzi. Nawasilisha.
Ukitaka kucheka juu ya hili jambo mtafute Mzee Malechela
 
View attachment 2109716


Katika kuperuzi peruzi kwenye google map nimeshtushwa kuona mpaka na jina la ziwa Nyasa vikionekana kama nilivyoattach hapo juu. Hii imekaaje wadau? Naomba mamlaka husika itupe ufafanuzi. Nawasilisha.
Viongozi wetu hawatuelezi ukweli wa hali ilivyo juu ya umiliki wa hili ziwa hili
 
Ukiona kwenye ramani kuna mstari
"dotted" au " dashed" ina maana kuna jambo hapo, huoni mstari ule ule kule juu upo tofauti, punguzeni presha mtapasuka kama puto bure.
Tufasirie sasa ili povu letu likauke mkuu
 
Isikupe shida Malawi wanaliita Lake Malawi; Tanzania tunaliita Lake Nyasa; na Mozambique wanaliita Lake Niassa!
Lakini kwanini mpaka uonekane kulimega ziwa lilopo upande wa Tz, mbona kwa wenzetu Msumbiji mpaka wa ziwa upo sawa tu?
 
Back
Top Bottom