Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Ni mwaka na miezi 9 mpaka Sasa hamna kitu
 
Jambo linaumiza sana hili!
Jana niliona taarifa ya kifo Cha rco Dom tuliosoma Cuba tumeanza kunusa harufu Fulani hivi ebu ngoja tuone mwisho wake Kuna watu wanaenda kusali milimani
 
Hatimae wanaotuhumiwa kupoteza watu nao wanapotea. Dunia ni mzunguko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…