Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Usijibishane nao. Kwanza wengi ya wanaopiga hizi kelele wangekuwa kwenye hizo nafasi wangekuwa wanyama kupindukia. Kisa ulichaelezea kina utata mwingi. Ilikuwaje muda wote hawakuuliza yuko wapi? Ni nini kilimpata? Unahitajika uchanguzi mkali. Nashangaa mpaka sasa hakuna matangazo yaliyotolewa ya kumtafuta. Au walishatoa?
 
Sijaona matangazo na nimeshangaa kwa jambo kubwa kama hili nikaona ni vema nikapaza sauti kwa mamlaka za juu.
 
Nowadays kuna ma askar kanzu wamefuga mizuzu na Wana sigda kama waswali sunaaa....

Ukionyeshwa hata huwazanii. Wala nini....save the date.
 
Atakuwa kajiongeza kwenda abroad kaona kazi ya lawama Bora aikimbie
 
Atakuwa kajiongeza kwenda abroad kaona kazi ya lawama Bora aikimbie
Anajiongezaje anaacha wallet inapesa nyingi pamoja na kadi ya benki mpaka vitambulisho vya bima ya Afya? Sizani!! Pia siku walipokuja kutoa vitu vyake ndugu zake walidai kukuta mpaka vyeti vyake vyote vya shule.
 
Changamoto Za Dodoma Ni Nyingi Sana
Hata ivo lakin tokea marehem ahamishie baadhi ya wafanyakazi pale watu wameharibu Sana mji
Wake za watu,mabinti wa vyuo yaani Kama unafamilia Dodoma mjini unawaza kesho kwangu sijui Nani anapitiwa [emoji23]
 
Hata ivo lakin tokea marehem ahamishie baadhi ya wafanyakazi pale watu wameharibu Sana mji
Wake za watu,mabinti wa vyuo yaani Kama unafamilia Dodoma mjini unawaza kesho kwangu sijui Nani anapitiwa [emoji23]
Kama Popobawa
 

Hehe
 
Swala Kala swala. Alikosea masharti. Alikuwa zaidi ya Askari unayemzungumzia wewe. Usiniulize zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…