Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Wewe ni ndugu yake?
Isije kuwa amelowea kwa pisi kali?
Mtu mzima hapotei..!
 
Wewe ni ndugu yake?
Isije kuwa amelowea kwa pisi kali?
Mtu mzima hapotei..!
Nimeeleza vzr hapo juu,hata ingekuwa wewe umepotea ndugu jamaa na majirani wangekutafuta hata kama roho yako mbaya mazingira yanaonyesha wazi amepotea hata wenzake walistuka siku hiyo walipokuja kwake.
 
Acheni double standard kujiona nyie bora kuliko binadamu wengine kisa watumishi wa umma huo ni upuuzi na ubinafsi,mkuki kwa nguruwe
 
Inawezekana ikawa ni sehemu ya kazi yake! Yupo kazini kama hakuwa akivaa mavazi ya kiaskari na ni askari akaiwa mazingira ya uraiani huenda yupo katika kutimiza majukumu yake ya kikazi, kazi hizo ni ngumu kuliko tunavyofhani. Na kama ametoweka kwa muda wa mwezi mzima bila ya kuwepo na taarifa yoyote hata kutangazwa katika vyombo vya habari, basi vyombo husika vitakuwa vikilifuatilia suala hilo kwa utaratibu uliowekwa mpaka hapo watakapoona umuhimu wa kulitangaza ama kinyume chake! Duniani apa kuna mengi ya kujifunza kuliko kujua kila kitu..
 
possible alimbambikia mtu kesi, hivyo na yeye kwa vile anaisha uswazi akambambikwaa !!!!
 
Huyo ni undercover agent wa CIA alipewa kazi sasa ile job description ame ignore ,kinachofuata huwa kama Dr shika vile alipoponea chupuchupu ,na ukipona lazima uwe mafia to the highest and topest
 
YaMungu mengi.
 
Nimeiona Leo tar 5 august hii habari gazeti la mwananchi ukurasa wa mbele hii nchi ilipofika hakuna mtu anaejua kesho yake
Nami pia nimeiona mwananchi wameichambua vizuri Sana nafkiri Sasa jamii kwa eneo kubwa itajua uwenda akawa miji mingine kapata tatizo hata la ufahamu wakamtambua na kutoa taarifa.
 
Ina staajabisha
 
Askari amepotea?
Amepotelea wapi?
ITV yu wapi hatujasikia
Au amepotezwa na wasiojulikana
Kwanini tukio hilo lipo kimya
Siri ya jeshi baada ya u hunguzi ndio habaro mnajua vitu vingine ni aibu ya jeshi hivyo sio rahisi kutangaza tuu
 
Haya wameanza kutekana wenyewe kwa wenyewe sasa what goes around comes around
 
Kama aliingia kwenye anga za watu wakala kichwa utajuaje maaskari wa Tanzania wanajifanyaga sometimes miungu watu sasa ukikutana na watu wa Kanda Maalum wanakuua na wanakulawiti vilevile , dhuluma na dhambi zao ndio zinawatafuna hawatakaa salama, Babu yangu alishawahi kusema ukiona umekosa kazi ukawa sijui polisi sijui mkamata nini ujue basi tena huna maana kwenye jamii
 
Kama nakuelewa hivi[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…