Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eleza zaidi ututoe wasiwasiNyanje kuwa muelewa Kuna kozi ya ASP inaendelea Kurasini na wanasongoka kwa sasa ukifeli inakula kwako hao ndg waeleze waende watamkuta ananyakua nyakua
Kwa hiyo Uniforms alikuwa anazivalia wapi?Haieleweki ndugu yangu kwanza Sisi majirani tuliowengi miezi yote hatukuweza kujua kama jamaa ni askari mpaka ulipovunjwa mlango wake na kukuta uniform Tena alikuwa na nyota Mbili wenzake walisema alikuwa mkuu wa kituo Cha mtumba mji wa kiserikali nafkiri hakutaka watu wamjue kama ni askari.
Eleza zaidi ututoe wasiwasi
Askari wengi sikuhizi hawavalii uniform nyumba za kupanga huwa wanaenda kuvalia kituoni shifti ikianzaKwa hiyo Uniforms alikuwa anazivalia wapi?
Babu yako geniusKama aliingia kwenye anga za watu wakala kichwa utajuaje maaskari wa Tanzania wanajifanyaga sometimes miungu watu sasa ukikutana na watu wa Kanda Maalum wanakuua na wanakulawiti vilevile , dhuluma na dhambi zao ndio zinawatafuna hawatakaa salama, Babu yangu alishawahi kusema ukiona umekosa kazi ukawa sijui polisi sijui mkamata nini ujue basi tena huna maana kwenye jamii
Mungu amsaidie huko aliko sijui kakumbana na dhahma gani..lakin naona kuna maajabu hapo simu iwe hewan kwa siku zaid ya kumi tena hadi wasap? Au kuna alikua na hiyo simu alikua anasikilizia? Hiyo simu haikua na paswd? Kuna ujumbe wowote unaonyesha alichat kwa hizo siku?Mh rais nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupa Afya njema na kuweza kutekeleza vyema majukumu yako ya kitaifa,mh rais Nina ombi maalum kwako kama mwananchi wako ambaye nimeguswa Sana na tukio la kupotea kwa askari polisi Emmanuelle Govella wa kituo kidogo cha mtumba mji wa kiserikali hapa Dodoma.
Mimi ni jirani hapa Nkuhungu Dodoma na Nyumba ambayo polisi huyu alikuwa amepanga siku ambayo ndugu wa huyo polisi walifika na polisi wa kituo Cha kati dodoma kuvunja mlango ili kujua kwanini askari huyo hapatikani muda mrefu nilikuwepo karibu.
Ilikuwa kati ya tarehe 19| 20 mwezi huu wa saba baada ya kuingia ndani walikuta simu ikiwa na laini zake zote Mbili lakini pia walikuta wallet yake ikiwa na vitambulisho vyake vyote mpaka kadi ya benki pamoja na fedha tasrimu sikujua kiasi gani, namba yake 0768243998 inaonyesha alikuwa hewani mala mwisho ni tarehe 26june hata ukiangalia WhatsApp inaonyesha hivyo mpaka siku wanabomoa kwake zilisha pita siku 24 Sasa Kuna maswali najiuliza ni kweli kwamba askari anapotea ZAIDI ya wiki 3 bila wenzake kujua?
Ombi langu kwako MH RAIS uunde kikosi maalum kichunguze upoteaji wa askari huyu Emmanuel govella Mpaka Leo hii nakutumia maombi haya ni takribani mwezi mmoja na siku 5 askari huyu hajaonekana ,nakutakia majukumu mema na Mwenyezi Mungu akutangulie.
Nilishawahi kukutana nao,alitusimamisha kwenye gari kukagua maana gari yetu ilititia kidogoNowadays kuna ma askar kanzu wamefuga mizuzu na Wana sigda kama waswali sunaaa....
Ukionyeshwa hata huwazanii. Wala nini....save the date.
Ukimya wa mwajiri wake umebeba ujumbe ....Unajitoa mwenyewe, unadhani Askari officer WA nyota mbili anawezaje kupotea kienyeji hivo, zingatia maelezo hapo juu alikuwa mkuu wa Kituo fulani,alikuwa hapendelei kuvaa uniform akienda kazini badala yake alikuwa akibeba begi jeusi mgongoni, jiulize Kwa nini alikuwa anaficha identity? Defenitly was an agent undercover, jiulize Askari wa level officer commanding station anawezaje kupotea polisi wasitoe tamko mpaka ndg zake ndo wamtafute? Anzia hapo kujiuliza kama alivuruga mission huyo ndo umsahau, formula ni moja tu kwamba if the law doesn't work, Eliminate.
Alifunga au ulifungwa?Hakuwa na familia ndio maana mlango wake alifunga.
Wewe maneno yako yana walakini... Unajuaje alifunga?Hakuwa na familia ndio maana mlango wake alifunga.
Ndio upuuzi wa askari kwenye matukio ya jinaiWaanzie kwako kupeleleza tukio,maana unamfahamu sana huyo polisi.
Umasikini ndio laana kubwa,wekeza nguvu huko kuuondoa.Babu yako genius
Kazi ya polisi ni kazi ya laana tupu.
Sitoshauri mwanangu aende huko afadhali jeshini ila sio polisi
Hao watu tangu enzi Yesu walikuwa wamejaa milaana ya kudhulumu watu haki zao rushwa na Mambo kedekede.
Sikiliza kuna mtu anaitwa Zirro anavyoongea utaelewa uwa polisi ni wapuuzi wapuuzi tu
Mwajiri anawezakuwa hajui.Ukimya wa mwajiri wake umebeba ujumbe ....
Hakika mkuu Kuna watu wanawaza ujinga wa siasa za maji taka muda wote wanafkiri kila mtu anahitaji masiasa siasa mtu kapotea badala ya kuchangia namna nini kifanyike yaani ni ccm v/s chadema+chuki basi ni upuuzi tu.