Mamlaka ya Bandari Tanzania mnapotoa ufafanuzi wa hoja kuweni makini; meli kukaa bandarini siku 20 ni sifa?

Mamlaka ya Bandari Tanzania mnapotoa ufafanuzi wa hoja kuweni makini; meli kukaa bandarini siku 20 ni sifa?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Bandarini kuna shida, viongozi wanashangilia meli kukaa zaidi ya siku ishirini bila kukamilisha huduma. Mamlaka inatuambia ongezeko la meli kwao ni kikwazo badala ya kuwa fursa.

Kibaya zaidi pamoja na mifumo waliyonayo ila wanadiriki kuwaambia waaguzaji mizigo kama wana malalamiko waende ofisini kwao.......TPA ni asset au Liability kwa umma?
 
hayo ni mapungufu ya DPW halafu mnawatupia lawama mamlaka ya Bandari.
 
Bandarini kuna shida, viongozi wanashangilia meli kukaa zaidi ya siku ishirini bila kukamilisha huduma. Mamlaka inatuambia ongezeko la meli kwao ni kikwazo badala ya kuwa fursa.

Kibaya zaidi pamoja na mifumo waliyonayo ila wanadiriki kuwaambia waaguzaji mizigo kama wana malalamiko waende ofisini kwao.......TPA ni asset au Liability kwa umma?
Hawa hutngeneza matatizo ili iwe fursa kwao
 
Bandarini kuna shida, viongozi wanashangilia meli kukaa zaidi ya siku ishirini bila kukamilisha huduma. Mamlaka inatuambia ongezeko la meli kwao ni kikwazo badala ya kuwa fursa.

Kibaya zaidi pamoja na mifumo waliyonayo ila wanadiriki kuwaambia waaguzaji mizigo kama wana malalamiko waende ofisini kwao.......TPA ni asset au Liability kwa umma?
Watu wengi bado hawaelewi propaganda za hapo bandarini kwa hiyo wanapiga kelele kwa mikumbo.
 
Bandarini kuna shida, viongozi wanashangilia meli kukaa zaidi ya siku ishirini bila kukamilisha huduma. Mamlaka inatuambia ongezeko la meli kwao ni kikwazo badala ya kuwa fursa.

Kibaya zaidi pamoja na mifumo waliyonayo ila wanadiriki kuwaambia waaguzaji mizigo kama wana malalamiko waende ofisini kwao.......TPA ni asset au Liability kwa umma?
Katika hizi wiki nne zilizopita meli zinazosubiri zinaonfezeka pale nje.
Nikiwa nyumbani,chumbani kwangu Msasani,naziona zile meli. Haya mazungumzo yanavyoendelea na DP World meli zinazidi kuongezeka pale.
 
Back
Top Bottom