Mamlaka ya Dawa na Chakula Tanzania mnaliona hili?

Mamlaka ya Dawa na Chakula Tanzania mnaliona hili?

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Nimekua nikijiuliza sana,hivi walifikiria nini kwamba, anayeuza dawa hata panadol tu lazma awe na kibali maalum na mlolongo kibao wa masharti, lakini anayeuza sumu za panya anaachwa huru kabisa tena katikati ya umma na vispika vya matangazo......"Panyaaa huyoooo tunauza sumu ya panya viroboto utitili kunguni na mende"..

Hata kama sheria zipo katika hili basi pia kuweni serious katika kuwadhibit hawa raia,sumu ni hatar zaidi ya Flagile au diclopa.
 
Panya oyeee🎶🎶🎶🎶 vipasa sauti oyeeee🎶🎶🎶🎶
 
Nimekua nikijiuliza sana,hivi walifikiria nini kwamba, anayeuza dawa hata panadol tu lazma awe na kibali maalum na mlolongo kibao wa masharti, lakini anayeuza sumu za panya anaachwa huru kabisa tena katikati ya umma na vispika vya matangazo......"Panyaaa huyoooo tunauza sumu ya panya viroboto utitili kunguni na mende"..

Hata kama sheria zipo katika hili basi pia kuweni serious katika kuwadhibit hawa raia,sumu ni hatar zaidi ya Flagile au diclopa.
TPRA
 
Nimekua nikijiuliza sana,hivi walifikiria nini kwamba, anayeuza dawa hata panadol tu lazma awe na kibali maalum na mlolongo kibao wa masharti, lakini anayeuza sumu za panya anaachwa huru kabisa tena katikati ya umma na vispika vya matangazo......"Panyaaa huyoooo tunauza sumu ya panya viroboto utitili kunguni na mende"..

Hata kama sheria zipo katika hili basi pia kuweni serious katika kuwadhibit hawa raia,sumu ni hatar zaidi ya Flagile au

Waziri Mkuu ataka kuunganishwa kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS)​

Waziri Mkuu ataka kuunganishwa kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS)​

 
Nimekua nikijiuliza sana,hivi walifikiria nini kwamba, anayeuza dawa hata panadol tu lazma awe na kibali maalum na mlolongo kibao wa masharti, lakini anayeuza sumu za panya anaachwa huru kabisa tena katikati ya umma na vispika vya matangazo......"Panyaaa huyoooo tunauza sumu ya panya viroboto utitili kunguni na mende"..

Hata kama sheria zipo katika hili basi pia kuweni serious katika kuwadhibit hawa raia,sumu ni hatar zaidi ya Flagile au diclopa.

Mamlaka ya Dawa na chakula ilisha badilishwa 2019 na kuwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba -TMDA. Tuanzie hapo,
Umezungumzia Dawa, hapo kuna dawa za aina mbili paracetamol ni dawa ya kumtibu binadamu, inasimamiwa na TMDA, na hiyo nyingine dawa au sumu ya kumuua panya ni pesticide ina ratibiwa na TPRI wapo na HQ yao Arusha. Kimsingi hizi ni kazi mbili tofauti kwa Mamlaka mbili tofauti. Huwezi fanya lisilo kuhusu.
 
Nimekua nikijiuliza sana,hivi walifikiria nini kwamba, anayeuza dawa hata panadol tu lazma awe na kibali maalum na mlolongo kibao wa masharti, lakini anayeuza sumu za panya anaachwa huru kabisa tena katikati ya umma na vispika vya matangazo......"Panyaaa huyoooo tunauza sumu ya panya viroboto utitili kunguni na mende"..

Hata kama sheria zipo katika hili basi pia kuweni serious katika kuwadhibit hawa raia,sumu ni hatar zaidi ya Flagile au diclopa.
Sure
 
Back
Top Bottom