Ndugu zangu TRA mimi naomba niwaambie ukweli mnauwa biashara siwafichi nasema ukweli ukweli mtupu.
Mnauwa biashara na mnaenda kuuwa secta ya fedha kabisa. Hivi mnajuwa watu wanatoa pesa bank na hawataki kusikia akaunti?
Hivi mnajuwa hizi estimate mnawapa watu zinawafanya kufunga biashara na kuachana kabisa na biashara nina andika haya kama BOT wangefanya tahimini ya mabank akaunti zinavo fungwa walai mngeacha hii aina ya ukusanyaji kodi..
Hali sio nzuri naongea juu juu tu ila mambo yanaendelea kiukweli yanatisha na waambia ynatisha.
Wafanyeni watu wapende kulipa kodi na sio kuwa chukia. Kuna watu wanapesa na hawatumii bank na wala hawataki bank why?
TRA hili mnalifanya sio faida kwa uchumi wetu na mwisho itakuwa huzuni sana.
Nawasilisha maoni yangu kwa BOT fanyeni tathimini ya watu kuacha tumia huduma za ki bank pamoja na akaunti zilizo fugwa kwa sababu za kikodi au hofia kodi
Mnauwa biashara na mnaenda kuuwa secta ya fedha kabisa. Hivi mnajuwa watu wanatoa pesa bank na hawataki kusikia akaunti?
Hivi mnajuwa hizi estimate mnawapa watu zinawafanya kufunga biashara na kuachana kabisa na biashara nina andika haya kama BOT wangefanya tahimini ya mabank akaunti zinavo fungwa walai mngeacha hii aina ya ukusanyaji kodi..
Hali sio nzuri naongea juu juu tu ila mambo yanaendelea kiukweli yanatisha na waambia ynatisha.
Wafanyeni watu wapende kulipa kodi na sio kuwa chukia. Kuna watu wanapesa na hawatumii bank na wala hawataki bank why?
TRA hili mnalifanya sio faida kwa uchumi wetu na mwisho itakuwa huzuni sana.
Nawasilisha maoni yangu kwa BOT fanyeni tathimini ya watu kuacha tumia huduma za ki bank pamoja na akaunti zilizo fugwa kwa sababu za kikodi au hofia kodi