Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Kibonzo kilikua na picha ya niniLakini na kibonzo mwananchi walikifuta baada ya kupigwa "BITI" wakifute ila vyote watu wanavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibonzo kilikua na picha ya niniLakini na kibonzo mwananchi walikifuta baada ya kupigwa "BITI" wakifute ila vyote watu wanavyo.
Kuharivu ndiyo Kiswahili gani na cha wapi?Safi sana.
Ingependeza,kama Jamiiforums kuwa wanatoa sababu za kupigwa ban watu hapa kama inavyosomeka kwenye taarifa hii ya TCRA kwa Umma.
Hakika tungewajua wapotoshaji na wale wote wenye "kudhihaki au kuharivu Taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hatahivyo, hii ni safi sana. Tuende na wakati.
Hujisikii hata Aibu tu Kuandika huu Upuuzi?Safi saaaaaaaaaaaaana.
Hawa Mwananchi wanafanya uchochezi. Wametengeneza kibonzo kuonesha kuwa Tz kuna kutekana na kuuana jambo ambalo sio la kweli. Nchi yetu ni ya amani hakuna anayetekwa wala kuuawa.
Nikiripoti kutoka makao makuu ya tisiaraei ni mimi msemaji wa sisimizi.
Huyo uliyemjibu unamuona ana Akili Mkuu?shida ikiwa aipo kwako uwezi kuona kamą ni tazizo
That is Tanzania.Hiyo sheria ya kuwafungia mwananchi online ni sheria ya kipumbavu kwa 100%.
Haiwezekani anayeituhumu Mwananchi online na anayetoa hukumu dhidi ya mwananchi online ni mtu huyo huyo mmoja (TCRA).
Aliyesema wanaenda mstuni kufanya mambo heye hakuhatarisha umoja na mshikamano.View attachment 3113606Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Usimamizi wa Mawasiliano Tanzania, Sheria Na. 12 ya mwaka 2003, kusimamia huduma za mawasiliano ya Kielektroniki na Posta katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
KUSITISHWA KWA MUDA LESENI ZA HUDUMA ZA MAUDHUI MTANDAONI ZILIZOTOLEWA KWA MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2023 na 2024, TCRA ilitoa leseni za huduma za maudhui mtandaoni (online media services licences) kwa kampuni ya Mwananchi Communications Limited kutoa huduma kwa majina ya The Citizen, Mwananchi Digital, Mwananchi na Mwanaspoti kwa ajili ya utoaji wa huduma za maudhui mtandaoni nchini. Katika utoaji wa huduma na kwa mujibu wa Kanuni ya 16 ya Kanuni za Maudhui Mtandao (the Online Content Regulations) za mwaka 2020, Mwananchi Communications Limited anatakiwa kutokutangaza au kuchapisha kwa Umma maudhui yaliyozuiwa ikiwa ni pamoja na maudhui yanayolenga kudhihaki au kuharibu taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tarehe 01 Oktoba 2024 Mwananchi Communications Limited ilichapisha maudhui mjongeo na sauti (audio-visual content) kwenye mitandao yake ya kijamii, maudhui yaliyozuiwa kwa mujibu wa Kanuni ya 16 ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni zilizorejewa hapo juu. Aidha, maudhui hayo yameleta tafsiri hasi kwa Taifa, jambo ambalo linaathiri na kuharibu umoja, amani na mshikamano wa kitaifa.
UMMA UNATAARIFIWA KUWA, kufuatia kuchapishwa kwa maudhui yaliyokatazwa na yanayopingana na sheria, TCRA imesitisha kwa muda leseni za huduma za maudhui mtandaoni (online media services licences) za Mwananchi Communications Limited (The Citizen, Mwananchi Digital, Mwananchi na Mwanaspoti) kutoa huduma za maudhui mtandaoni nchini Tanzania kwa muda wa siku thelathini (30) tangu tarehe ya kutolewa kwa taarifa hii, wakati masuala mengine ya kiusimamizi yanafanyiwa kazi.
Imetolewa tarehe 02 Oktoba, 2024
PIA SOMA
- Siku ya Uhuru wa Habari: Hakuna Uhuru wa Habari, Bila Uhuru wa Kiuchumi wa Media/Waandishi wa Habari!. Media Njaa Inaweza Kuwa Huru?!
Just like your home country UGThat is Tanzania.
Yanasemaje hebu tupeni tuyasikieTarehe 01 Oktoba 2024 Mwananchi Communications Limited ilichapisha maudhui mjongeo na sauti (audio-visual content) kwenye mitandao yake ya kijamii, maudhui yaliyozuiwa kwa mujibu wa Kanuni ya 16 ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni zilizorejewa hapo juu. Aidha, maudhui hayo yameleta tafsiri hasi kwa Taifa, jambo ambalo linaathiri na kuharibu umoja, amani na mshikamano wa kitaifa.
Nakubaliana na ww pia wawe wanatuambia sababu za kufuta nyuzi zetu kimya kimya. Tuma hata taarifa privatelySafi sana.
Ingependeza,kama Jamiiforums kuwa wanatoa sababu za kupigwa ban watu hapa kama inavyosomeka kwenye taarifa hii ya TCRA kwa Umma.
Hakika tungewajua wapotoshaji na wale wote wenye "kudhihaki au kuharivu Taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hatahivyo, hii ni safi sana. Tuende na wakati.
Na Uhakika itakuwa ni jambo zuri tu.Nakubaliana na ww pia wawe wanatuambia sababu za kufuta nyuzi zetu kimya kimya. Tuma hata taarifa privately
Kwamba hukuelewa sio?Kuharivu ndiyo Kiswahili gani na cha wapi?
Freedom of press attackedView attachment 3113606Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Usimamizi wa Mawasiliano Tanzania, Sheria Na. 12 ya mwaka 2003, kusimamia huduma za mawasiliano ya Kielektroniki na Posta katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
KUSITISHWA KWA MUDA LESENI ZA HUDUMA ZA MAUDHUI MTANDAONI ZILIZOTOLEWA KWA MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2023 na 2024, TCRA ilitoa leseni za huduma za maudhui mtandaoni (online media services licences) kwa kampuni ya Mwananchi Communications Limited kutoa huduma kwa majina ya The Citizen, Mwananchi Digital, Mwananchi na Mwanaspoti kwa ajili ya utoaji wa huduma za maudhui mtandaoni nchini. Katika utoaji wa huduma na kwa mujibu wa Kanuni ya 16 ya Kanuni za Maudhui Mtandao (the Online Content Regulations) za mwaka 2020, Mwananchi Communications Limited anatakiwa kutokutangaza au kuchapisha kwa Umma maudhui yaliyozuiwa ikiwa ni pamoja na maudhui yanayolenga kudhihaki au kuharibu taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tarehe 01 Oktoba 2024 Mwananchi Communications Limited ilichapisha maudhui mjongeo na sauti (audio-visual content) kwenye mitandao yake ya kijamii, maudhui yaliyozuiwa kwa mujibu wa Kanuni ya 16 ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni zilizorejewa hapo juu. Aidha, maudhui hayo yameleta tafsiri hasi kwa Taifa, jambo ambalo linaathiri na kuharibu umoja, amani na mshikamano wa kitaifa.
UMMA UNATAARIFIWA KUWA, kufuatia kuchapishwa kwa maudhui yaliyokatazwa na yanayopingana na sheria, TCRA imesitisha kwa muda leseni za huduma za maudhui mtandaoni (online media services licences) za Mwananchi Communications Limited (The Citizen, Mwananchi Digital, Mwananchi na Mwanaspoti) kutoa huduma za maudhui mtandaoni nchini Tanzania kwa muda wa siku thelathini (30) tangu tarehe ya kutolewa kwa taarifa hii, wakati masuala mengine ya kiusimamizi yanafanyiwa kazi.
Imetolewa tarehe 02 Oktoba, 2024
PIA SOMA
- Siku ya Uhuru wa Habari: Hakuna Uhuru wa Habari, Bila Uhuru wa Kiuchumi wa Media/Waandishi wa Habari!. Media Njaa Inaweza Kuwa Huru?!
Kiukweli kabisa, huu ni uonevu!.Freedom of press attacked
Pascal Mayalla
hatimaye umefikiwaKiukweli kabisa, huu ni uonevu!.
P
Na nyie media pia ni sehemu ya haya, hasa zile media pro-establishment ambazo kutwa kucha hazizungumzii Uhuru wa habari zaidi ya mapambio tu.Kiukweli kabisa, huu ni uonevu!.
P