Pre GE2025 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yasitisha Leseni ya Mwananchi kutoa maudhui mtandaoni kwa siku 30

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuharivu ndiyo Kiswahili gani na cha wapi?
 
Hujisikii hata Aibu tu Kuandika huu Upuuzi?
 
Hiyo sheria ya kuwafungia mwananchi online ni sheria ya kipumbavu kwa 100%.
Haiwezekani anayeituhumu Mwananchi online na anayetoa hukumu dhidi ya mwananchi online ni mtu huyo huyo mmoja (TCRA).
 
Hiyo sheria ya kuwafungia mwananchi online ni sheria ya kipumbavu kwa 100%.
Haiwezekani anayeituhumu Mwananchi online na anayetoa hukumu dhidi ya mwananchi online ni mtu huyo huyo mmoja (TCRA).
That is Tanzania.
 
Aliyesema wanaenda mstuni kufanya mambo heye hakuhatarisha umoja na mshikamano.
 
Yaleyale ya kukimbia hoja kwa kumuaduisha mwenye hoja kinzani, sijui hawa madoktori wa kitanzanzania wanapataje hizi phd's kwa kweli. Daktari mzima unasign ban kwa vitu dhaifu namna hii??? Pathetic. Hivi hawa wangekutana na challenge kama za hurricanes, vita, mafuriko wangepambana nazo kweli?? Inasikitisha sana kuona pesa za umma kwa kuuza ng'ombe ili kusomesha ng'ombe na zinabaki kuwa ng'ombe vilevile ndani ya VX. wanajua kutumbua tu pesa za umma
 
Yanasemaje hebu tupeni tuyasikie
 
Nakubaliana na ww pia wawe wanatuambia sababu za kufuta nyuzi zetu kimya kimya. Tuma hata taarifa privately
 
Bwana Yule alibinya uhuru wa vyombo vya habari, ila Mama kafungua nchi, uhuru wa kujieleza umeimarika, miatno tena kwa mama!
 
Nakubaliana na ww pia wawe wanatuambia sababu za kufuta nyuzi zetu kimya kimya. Tuma hata taarifa privately
Na Uhakika itakuwa ni jambo zuri tu.
Yaani, mtu akileta maudhui ya Uongo, wamwanike tu, ni muongo. Waweke pia na Uwongo wake.

Hatahivyo, natambua mchango mkubwa na hata changamoto wanazozipitia moderators, hawafanyi kazi ndogo hata na wapewe maua yao, ila nadhani wanaweza boresha huu mtandao ambao kwa sasa umejaa disinformation.
 
Freedom of press attacked
Pascal Mayalla
 
Mwananchi online,niliishawaambia kwenye comment zangu kwamba,kwakuwa wamejitolea kuwashambulia watumishi wa MUNGU kwenye makala zao,basi anguko lao Mwananchi linakuja .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…