Mamlaka ya Palestina yaungana na Israel kupiga marufuku Al Jazeera.

Mamlaka ya Palestine inaionyesha Israel na Marekani kwamba inaweza kuwa na udhibiti mzuri ikikabidhiwa Gaza baada ya Israel kujiondoa.
 
Aljazeera inafanya kazi ya kueneza Ushawishi wa Qatar ndio maana Misri, UAE na Saudia hawaipendi kabisa.
 
Hili la Al Jazeera kufanya upendeleo kwa kundi la Hamas walianza kitambo. Ukute Hamas wana hisa Al Jazeera.

Weka link ya taarifa basi


Kuna clip Youtube kuna youtuber mmoja mwarabu aliwa expose kuwa channel zao kwenye jamii ya kiarabu wanatoa taarifa tofauti na channel Inazooenyeshwa upande wa western alisema ukiangalia aljazeera ukiwa uarabuni utaona wako ant western ila ukiwa western countries utawaona kama wako neutral aljazeera walipoona jamaa kawa expose wakaamua kuanza kumtengenezea zengwe.. kwenye channel za kiarabu wakawa wanarusha kuwa analipwa na israel kuwasifia ila Cha ajabu
Vipindi hivyo wakawa hawavitoi kwenye international channel zao

Watu wanafikiri Aljezeera ni chombo
Huru. 100% Aljazeera inapokea funds kutoka Qatar Govt. Na Qatar mwaka
1996 kimakakati walitafuta mtu ambaye ataanzisha chombo cha habari kiwe kama BBC au CNN lakini wenyewe Govt wasiwe front kionekane ni private
 
Usizungumze uongo Na uongo huwa haukupendezi.
Unaweza kuleta ushahidi wa Qatar kuhusika na Vita za Sudan??
Unaweza ukaleta ushahidi wa Qatar kuunga mkono waasi waliompindua Gaadafi?
Ishu ya Qatar Libya ni kuwa Qatar alimuunga mkono Halif Aftar ambaye ndiye aliyekua mfuasi wa Zama za Gaddafi ili kurejesha utawala wa Zamani wa Libya.
Wewe unasema kuwa Muslim Brotherhood hawapendwi na walikuwa hawatakiwi,mbona Gaddafi raia walisema hawampendi kwa uchochezi wa USA hadi kufikia kumpindua lakini sasa hivi wanamlilia??
Mbona hata Mandela alifanyiwa unafiki hadi Na Kenya ndio tuamini kuwa Mandela alikuwa gaidi kisa alitangazwa na mabeberu na kunafikiwa na baadhi ya nchi za Afrika??
Usizungumze uongo Na uongo huwa haukupendezi.
Palestina vyombo vya habari vyote ikiwemo Al-Jazeera vinatangaza Sawa kuwa wengi wao wanaokufa ni wanawake Na watoto.
Kwahiyo hivyo vyombo vingine vya habari vimeongopa au vinapewa rushwa Na Qatar vitangaze kama Qatar??

Usituletee uongo hapa aiseee.

Nenda kaitizame Misri kipindi anaitawala Mohammed Morsi na sasa hivi Misri ipi Ina nguvu!?
Misri ya sasa haina ile nguvu ya baba wa waarabu kama Misri ya kipindi like cha Morsi.
Ndio maana influence yote sasa hivi imehamia Qatar.
Wewe kaa endekeza propaganda ilhali ukweli unafahamika Qatar ikoje Na mchochezi wa Vita ni nani.
Hao mamlaka ya Palestina wenyewe pesa wanatoa Qatar za kuendesha serikali Yao.
Kaa ipakazie ubaya Qatar ilhali ni Taifa linalokua kiuchumi Na kiushawishi.
 
Hizi ni propaganda tushazizoea.
Wahariri wa habari za Al-Jazeera ni wazungu Sio waarabu tena waandishi wa habari ambao wabobezi waliowahi kufanya kazi vyombo vikubwa vya habari kabla mathalan kina Kimberly Halket.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…