S Shift JF-Expert Member Joined Oct 3, 2014 Posts 1,087 Reaction score 2,195 Oct 5, 2020 #21 Ukute yule Kondakita wa Drimu laina iliyoisha mafuta huko hewani jana alipitia hiki kichuo
Somoche JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 6,795 Reaction score 9,143 Oct 5, 2020 #22 Nilikua Najiuliza sana sana Hivi kweli chuo cha kufundisha Jambo kama Lile la kurusha Ndege kweli kiko kienyeji namna ile.?? Ilikua aibu sana kabisa...Kale kachuo kanamilikiwa na mtu mjanja mjanja tu hakana lolote..
Nilikua Najiuliza sana sana Hivi kweli chuo cha kufundisha Jambo kama Lile la kurusha Ndege kweli kiko kienyeji namna ile.?? Ilikua aibu sana kabisa...Kale kachuo kanamilikiwa na mtu mjanja mjanja tu hakana lolote..
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Oct 5, 2020 #23 miss zomboko said: View attachment 1591094 Click to expand... Hamza Johari katika ubora wake wa hali ya juu kabisa.
miss zomboko said: View attachment 1591094 Click to expand... Hamza Johari katika ubora wake wa hali ya juu kabisa.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Oct 5, 2020 #24 Kuna uzi mmoja kuna vijana kama wawili waalitengeneza ID nyingi ili kuja kukipamba hicho chuo humu JF
Kuna uzi mmoja kuna vijana kama wawili waalitengeneza ID nyingi ili kuja kukipamba hicho chuo humu JF