Mamlaka za Israel wavamia sherehe za kanisa huko yerusalem hawataki ukiristo

Wewe ni ZOMBIE..
 
Kaungane na ndugu zako huko mayahudi mlilishwa maneno kwamba mayahudi wakiristo eti ni ndugu zenu wa damu, muko humu mnashangiliwa kuuliwa kwa wapalestina na hao mazayuni sasa nenda kasaidie huko wenzako wanachomwa moto
 
Yehudi jeuzi kutoka Kashai lipo radhi hata kula kinyesi cha yahudi😀
 
Mods hii habari msianze kuipoza kwa kuedit ipo hivyo.
Wapo sahihi mbona hata Yesu walimkataa Lakin tumeamriwa kuwaombea maana Mungu alishawapa ahad baba zao. Wewe nadhan una wivu maana mudi yeye hakupewa ahad zaid ya kila muislam kumuombea. Eti mtume anaombewa.
 
 
Hao watu wanapenda shobo sana , wanawaona mayahudi ni ndugu zao, watu wasio na akili kupenda shobo...Wyahudi wana tabia ya kuwatemea mate kila kona .

Mbaya zaidi wanachukia waislamu hata hapa Tanzania kwa kufuata mkumbo.

Wnaita taifa la Mungu
 
Kule hakuna Wakristo halisi! Waliojaa kule ni Wakristo waabudu masanamu! Nadhani ndiyo wanaochukiwa na Wayahudi.
Kwa mjibu wa Torati yao,wanaona kuwako kwa masanamu katika ardhi yao ni machukizo,kwa hiyo lazima kuwaondoa na kuyaondoa masanamu,Kumbu12:1-3!
 
 
Wayahudi wanasema Yesu alizaliwa katika uyahudi na akakua katika uyahudi baadae akaenda kuanzisha dini yake mwenyewe ya kikristo.

Kazi kweli kweli, ila jamaa huwa wanawachukia sana christians sijui waliwafanyia nini?
Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)
 
Wayahudi wanasema Yesu alizaliwa katika uyahudi na akakua katika uyahudi baadae akaenda kuanzisha dini yake mwenyewe ya kikristo.

Kazi kweli kweli, ila jamaa huwa wanawachukia sana christians sijui waliwafanyia nini?
Yesu hajawahi anzisha dini duniani, Yesu aliacha lifestyle ambayo kama ukiifuata utamshinda shetani na kuingia peponi
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…