Mamlaka za Israel wavamia sherehe za kanisa huko yerusalem hawataki ukiristo

Mamlaka za Israel wavamia sherehe za kanisa huko yerusalem hawataki ukiristo

Ni mtume gan aliwah kuswaliwa. Ana kosa gan aswaliwe
Unajua maana ya kuswaliwa!?
Mitume yote imeswaliwa eidha kwa kusema alayhi salaam au alayhi swalaatu wa ssalaam.
Kuswaliwa kulikokusudiwa ni kumtakia rehema na kumtukuza uko aliko na hilo hufanywa kwa matamshi.
Sio tu Muhammad bali mtume yeyote hata Mussa AKITAJWA unatakiwa umtakie rehema kwa Mungu.
Sio tu mitume hata watu wema walioishi kipindi cha mitume pia ni wakitajwa unawaswalia.
Kwa sisi wasasa tunatakiana radhi kwa Mungu,kama wewe ukifariki tukikukumbuka tunatakiwa tuseme "radhwia Allahu anhu" maana yake Mungu amridhie aliko.
 
Unajua maana ya kuswaliwa!?
Mitume yote imeswaliwa eidha kwa kusema alayhi salaam au alayhi swalaatu wa ssalaam.
Kuswaliwa kulikokusudiwa ni kumtakia rehema na kumtukuza uko aliko na hilo hufanywa kwa matamshi.
Sio tu Muhammad bali mtume yeyote hata Mussa AKITAJWA unatakiwa umtakie rehema kwa Mungu.
Sio tu mitume hata watu wema walioishi kipindi cha mitume pia ni wakitajwa unawaswalia.
Kwa sisi wasasa tunatakiana radhi kwa Mungu,kama wewe ukifariki tukikukumbuka tunatakiwa tuseme "radhwia Allahu anhu" maana yake Mungu amridhie aliko.
Unaweza ukayasema hayo hata kwa kilugha chako na bado huyo Mungu akakusikia tu vilevile sio lazima eti useme kwa kiarabu eti ndio huyo Mungu akusikie na hapo ndipo waafrika tuliingizwa choo cha kike kwani Mungu kuna lugha hajui.
 
Mimi natetea Haki ya palestina kuwa taifa huru na kuondokana na kifungo cha israeli.
Hao magaidi unaowatetea wameua watanzania lakini bado hulioni hilo, watu ni wanafiki sana nyie. Mimi nasema ngoja wauwawe tu.
 
Hao magaidi unaowatetea wameua watanzania lakini bado hulioni hilo, watu ni wanafiki sana nyie. Mimi nasema ngoja wauwawe tu.
Wale wanajeshi watatu wa Tanzania waliouwawa kule Congo uliwahi kulaani? Au na na wewe ni mnafiki?
 
Wanakumbi.

MAMLAKA ZA ISRAEL WAVAMIA SHEREHE ZA KANISA HUKO YERUSALEMU

Matukio ya machafuko leo wakati wa sherehe za kila mwaka za Moto Mtakatifu.

Mamlaka iliwakamata maafisa wa usalama wa kanisa hilo wakati wa Jumapili ya Pasaka kwa Wakristo wa Orthodox.

View: https://x.com/marionawfal/status/1786843107604025579?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Yesu Christ alikuja kuleta amani na sio vita. Msitake kuleta upumbavu wa kiislamu kuleta chuki na uadui.

Dini ni zenu sisi yesu hakuleta dini. Kwahiyo ukimkataa yesu jua umekataa amani

Mwamini yesu ili uwe na amani. Inapata shida sababu ya dini ya waarabu je ni akili au matope.

Waisilamu ni wapumbavu sana na kwataarifa yenu Israel atawanyoosha kumaaaniina zenuiuu
 
Back
Top Bottom