Mamlaka za Israel wavamia sherehe za kanisa huko yerusalem hawataki ukiristo

Kwanini wavamie hilo kanisa na wala si makanisa mengine? Labda USA na Ukaya, ila kwa matifa mengine dini yoyote inayopinga sera za serikali lazima ushughulikiwe.
 
Kwani Israel hakuna makanisa kwanini hilo kanisa unajua kwenye nchi za watu wasomi hawawezi kukubali makanisa ya kijinga kama sisi
 
Hii inahusika vipi na vita dhidi ya ugaidi kule Gaza?!
 
NI sawa Serikali ikipata taarifa za kiinteligesia kwamba huko kanisani kuna magaidi ya HAMAS yanaweza kuleta madhara, sioni kwanini isiwazuie wananchi na raia wema kwenda huko kanisani. Bravo Israel, you saved life.
 
Sasa mkewangu hao wanaoishobokea Israel wana utofauti gani na wewe unaewashobokea waarabu?
 
Wewe mbona unawashobokea waarabu na hakuna anaekuuliza ?
Una akili timamu wewe au ndio upo milembe umeiba simu ya Daktari na kuingia JF?
Mimi nimeuliza kuhusu sisi wayahudi wa huku Ifakara,uarabu unaingiaje kwenye comment yangu?
 
Una akili timamu wewe au ndio upo milembe umeiba simu ya Daktari na kuingia JF?
Mimi nimeuliza kuhusu sisi wayahudi wa huku Ifakara,uarabu unaingiaje kwenye comment yangu?
Nakujua sana binti ndio maana nikaweka hiyo comment
 
Salma siku hizi una jinsia mbili? Aisee sitosahau ulivyokula hela ya nauli niliyokakutumia uje kusini
Mwanaume lazima unifuatilie,na umekiri mwenyewe hapa kua unanijua wakati mimi sikujui wala sina haja ya kukujua,punguza kushobokea wanaume Bwabwa wewe utapigwa paipu na wanaume,acha shobo mchicha mwiba wewe.
 
Mwanaume lazima unifuatilie,na umekiri mwenyewe hapa kua unanijua wakati mimi sikujui wala sina haja ya kukujua,punguza kushobokea wanaume Bwabwa wewe utapigwa paipu na wanaume,acha shobo mchicha mwiba wewe.
Nakufuatilia kwasababu ulikuwa demu wangu na mpaka nauli nilikutumia japo haukutokea salma ila yote kwa yote nilisamehe tu
 
Nakufuatilia kwasababu ulikuwa demu wangu na mpaka nauli nilikutumia japo haukutokea salma ila yote kwa yote nilisamehe tu
Endelea kunifuatilia Mwanaume coz unaonekana huna thamani yeyote ile kwenye jamii,hata jamii iliyokuzunguka huko unapoishi inaonekana unadharaulika sana na huna maana yeyote,kifupi huna maisha,upo upo tu ndio maana umejipa kazi ya kufuatilia wanaume hapa JF,subiri upigwe mimba ili utulie kulea kichanga chako.
 
Hao watu wanapenda shobo sana , wanawaona mayahudi ni ndugu zao, watu wasio na akili kupenda shobo...Wyahudi wana tabia ya kuwatemea mate kila kona .

Mbaya zaidi wanachukia waislamu hata hapa Tanzania kwa kufuata mkumbo.

Wnaita taifa la Mungu
Taifa la mungu ni moja tu israel
 
Kwahiyo ndio maana haukuja salma ? Sasa kama sina pesa je ile nauli niliyokakutumia nilipata wapi?kiukweli hata kama ulikula nauli na haukuja mimi sijakasirika kabisa bado nakuhitaji mno Salma
 
Kwahiyo ndio maana haukuja salma ? Sasa kama sina pesa je ile nauli niliyokakutumia nilipata wapi?kiukweli hata kama ulikula nauli na haukuja mimi sijakasirika kabisa bado nakuhitaji mno Salma
Mimba changa inakusumbua,katafute maembe mabichi utafune huenda yakakusaidia,halafu huna issue,huna hoja,umekariri hako hako kaneno kamoja tu,una maisha magumu sana wewe mjane,endelea tu kushinda JF na kufuatilia wanaume coz ndio kazi uliyojipa na ndio kazi unayoiweza.
 
Ila wayahudi wametuweza kuwapenda kote huku kumbe wanatuona mapimbi tu. Ingependeza ungeanzisha uzi maalum wa hizipicha. Kwani hapa haiondoi ukweli wayahudi hawana time na wakristo..
Wewe ndie unawapenda, umeona wapi nimesema nawapenda? Acha unafiki wa kuunga unga hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…