Mamlaka za Israel wavamia sherehe za kanisa huko yerusalem hawataki ukiristo

kwanini usikae kwenye mtaa ambao utakaa mwenyewe tu na wakristo wenzako?
 
Wapo sahihi mbona hata Yesu walimkataa Lakin tumeamriwa kuwaombea maana Mungu alishawapa ahad baba zao. Wewe nadhan una wivu maana mudi yeye hakupewa ahad zaid ya kila muislam kumuombea. Eti mtume anaombewa.
Kwahiyo anakupiga na kukutemea mate huku unamuombea 🤣🤣
 
Kwahiyo wakatoliki tukienda na masanamu yetu ya bikira maria kule lazima tuchezee kichapo.
 
Wapo sahihi mbona hata Yesu walimkataa Lakin tumeamriwa kuwaombea maana Mungu alishawapa ahad baba zao. Wewe nadhan una wivu maana mudi yeye hakupewa ahad zaid ya kila muislam kumuombea. Eti mtume anaombewa.
Kwa hiyo Wayahudi hawakumuua Yesu wala kumchapa mijeledi?
 
1 Thessalonians 2:14-15


14 For ye, brethren, became followers of the churches of God which in Judaea are in Christ Jesus: for ye also have suffered like things of your own countrymen, even as they have of the Jews: 15 Who both killed the Lord Jesus, and their own prophets, and have persecuted us; and they please not God, and are contrary to all men


King James Version - Bible

Matthew 27:24-25


24 When Pilate saw that he could prevail nothing, but that rather a tumult was made, he took water, and washed his hands before the multitude, saying, I am innocent of the blood of this just person: see ye to it. 25 Then answered all the people, and said, His blood be on us, and on our children.
 
P
Pilato unajua alikuwa nani
 
Salma kiukweli nakuhitaji mno...nataka nikuoe sio kukuchezea
 
hawataki ukristo wala uislam wao wanataka kupakuana mavi tu wanaume kwa wanaume....halafu utaskia akina LGBT wenzao humu wanawasemea eti "hilo ndo taifa teule" K mama zenu wenye mawazo hayo ya kichoko
 
Unaropoka kama umekunywa maji machafu.
Qatar kuna 15.4% ya christian community na watu wanafanya ibada na hawafanyiwi vurugu yeyote.
Gaza kuna kanisa la miaka zaidi ya 500 na wakristo akiwemo marehemu Sherin Abu Akleh alikua akiabudu hapo je umesikia waislam wakiwazuia!?
Toka kwenye utumwa wa fikra kuku wewe.
 
Wapo sahihi mbona hata Yesu walimkataa Lakin tumeamriwa kuwaombea maana Mungu alishawapa ahad baba zao. Wewe nadhan una wivu maana mudi yeye hakupewa ahad zaid ya kila muislam kumuombea. Eti mtume anaombewa.
Mtume haombewi anaswaliwa na kutukuzwa kijana.
Mtume alishatuombea waislam wote tuingie peponi isipokua atakaekufa na dhambi ya ushirikina.
Hujui kitu nyamaza.
 
pilipili msioila inawawashia nini
Wanyanyaswe wakristo walalamike Janjaweed wa kwa mpalange.
 
Mtume haombewi anaswaliwa na kutukuzwa kijana.
Mtume alishatuombea waislam wote tuingie peponi isipokua atakaekufa na dhambi ya ushirikina.
Hujui kitu nyamaza.
Ni mtume gan aliwah kuswaliwa. Ana kosa gan aswaliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…