Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Kizimkazi KITIMOTOHuyo mamba anaitwa jina gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizimkazi KITIMOTOHuyo mamba anaitwa jina gani
Kwanza mamba akiwa mzee hawez kuzalisha na anaua mamba vijana wa kiume hivyo kuuliwa ni advantage kwa hifadhiHabari imesambaa Duniani kwamba kuna mamba mkubwa mwenye umri wa takribani miaka mia moja ameawa Tanzania. Wamehojiwa wamesema wanafanya uchunguzi.
Kuna uwezekano mgeni akaingia nchini na kufanya tukio kubwa vile tena akitumia gari za Tanzania bila serikali kufahamu?
Hiyo mzungu hata kama alilipia kibali kumuwinda hiyo mamba asijimilikishe huyo mamba .
RIP mamba
Ufafanuzi wa TAWA unaendana na mwaka 2023; kwanini wasingeamua kukaa kimya?
Naamini wizara ya maliasili imemkwaza Mhe. Rais kuruhusu hawa watuhumiwa na waalifu wa Marekani wawinde ,warekodi,watupie mitandaoni huku mamlaka zikiwa hazina taarifa.
Naamini hata silaha walizotumia kuwinda zilipita mipakani zikakaguliwa.
Swali gumu, MAMBA YUPO WAPI? ALIACHWA PORINI AU WALIONDOKA NA VIUNGO IKIWEMO NGOXI ?
Habari imesambaa Duniani kwamba kuna mamba mkubwa mwenye umri wa takribani miaka mia moja ameawa Tanzania. Wamehojiwa wamesema wanafanya uchunguzi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji24]Habari imesambaa Duniani kwamba kuna mamba mkubwa mwenye umri wa takribani miaka mia moja ameawa Tanzania. Wamehojiwa wamesema wanafanya uchunguzi.
Kuna uwezekano mgeni akaingia nchini na kufanya tukio kubwa vile tena akitumia gari za Tanzania bila serikali kufahamu?
Sawa serikali inatoa vibali vya uwindaji..... Sasa inakuwaje badala ya kuthibitisha kama Mzungu ana kibali wao wanasema wanafanya uchunguzi. Can't you see there is something wrong with our system. Think Bro, think.Vibali vya kuwinda vinatolewa na serikali, nawashangaa mnaoshangaa mamba kuuawa badala ya kushangaa kuwa uwindaji huo ni halali kabisa.
Vibali vya kuwinda vinatolewa na serikali, nawashangaa mnaoshangaa mamba kuuawa badala ya kushangaa kuwa uwindaji huo ni halali kabisa.
Uchunguzi ni njia ya kuvuta muda mjadala upoe, wewe ni mgeni nchi hii? Serikali haiwezi tu kusema huyo mtu amewinda kihalali wakati watu wamekasirika.Sawa serikali inatoa vibali vya uwindaji..... Sasa inakuwaje badala ya kuthibitisha kama Mzungu ana kibali wao wanasema wanafanya uchunguzi. Can't you see there is something wrong with our system. Think Bro, think.
Uchunguzi ni njia ya kuvuta muda mjadala upoe, wewe ni mgeni nchi hii? Serikali haiwezi tu kusema huyo mtu amewinda kihalali wakati watu wamekasirika.
Huyu na yeye wale wazungu wapewe kibali wamuue tu maana hana faida bora hata yule mamba.Wewe wa nini sasa??
Kambebaje mpaka kumninginiza kwenye mti? Photoshop!Picha hii hapaView attachment 2854965
Ukipata kibali huyo mamba ni wako anajua.Hiyo mzungu hata kama alilipia kibali kumuwinda hiyo mamba asijimilikishe huyo mamba .
RIP mamba
Ufafanuzi wa nini?Watoke ufafanuzi haraka, ili kuondoa sintofahamu.
"Mambo ya msingi" ndiyo yepi?Ukitaka kujia nchi yetu iko macho kisawasawa fungua genge uuze hata bamia. TRA hawa hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya msingi wako usingizi wa pono
Subirini sana.tusubiri siku tukipata Raisi..... kwa sasa acha tuendelee hivi hivi