Mamlaka za Tanzania hazifahamu kwamba mamba mkubwa aliyeuawa ni mali ya Tanzania!

Mamlaka za Tanzania hazifahamu kwamba mamba mkubwa aliyeuawa ni mali ya Tanzania!

Ufafanuzi wa TAWA unaendana na mwaka 2023; kwanini wasingeamua kukaa kimya?

Naamini wizara ya maliasili imemkwaza Mhe. Rais kuruhusu hawa watuhumiwa na waalifu wa Marekani wawinde ,warekodi,watupie mitandaoni huku mamlaka zikiwa hazina taarifa.

Naamini hata silaha walizotumia kuwinda zilipita mipakani zikakaguliwa.

Swali gumu, MAMBA YUPO WAPI? ALIACHWA PORINI AU WALIONDOKA NA VIUNGO IKIWEMO NGOXI ?
Kwani kuwinda mamba ni haramu Tanzania?
 
Hiyo mzungu hata kama alilipia kibali kumuwinda hiyo mamba asijimilikishe huyo mamba .
RIP mamba
Unaota, kibali cha kuwinda alipie yeye, halafu ujimilikishe wewe?

Unapenda kitonga kijana?
 
Mfano mmoja tu mengine utaongezea au wataongezea wengine.
Kwanza ieleweke kuwa hakuna lengo baya au kubeza anachkifanya Rais wetu lkn nikuweka angalizo la nini ni muhimu kifanyike ili tuede mbele. Pia ajue kuwa kama watendaji wake wakihujumu au kutofanya vzr lawama ni zake.
Sasa mfano ni huu
" Hivi kuna umuhimu gani wa kununua goli la Yanga au Simba inapocheza na timu za nje kama motisha au kuisafirisha kwa ndege huku akina mama wakujifungua sakafuni au kukosa hela ya kulipia au upungufu wa vifaa tibana baadae kuishia kupoteza maisha?
Ungekuwa wewe ndio mzazi unaulizwa asaidiwe mama kujifungua au walipie goli. Ungechagua nini?
"Mambo ya msingi" ndiyo yepi?
 
Back
Top Bottom