Mamlaka za Tanzania hazifahamu kwamba mamba mkubwa aliyeuawa ni mali ya Tanzania!

Kwani kuwinda mamba ni haramu Tanzania?
 
Hiyo mzungu hata kama alilipia kibali kumuwinda hiyo mamba asijimilikishe huyo mamba .
RIP mamba
Unaota, kibali cha kuwinda alipie yeye, halafu ujimilikishe wewe?

Unapenda kitonga kijana?
 
Mfano mmoja tu mengine utaongezea au wataongezea wengine.
Kwanza ieleweke kuwa hakuna lengo baya au kubeza anachkifanya Rais wetu lkn nikuweka angalizo la nini ni muhimu kifanyike ili tuede mbele. Pia ajue kuwa kama watendaji wake wakihujumu au kutofanya vzr lawama ni zake.
Sasa mfano ni huu
" Hivi kuna umuhimu gani wa kununua goli la Yanga au Simba inapocheza na timu za nje kama motisha au kuisafirisha kwa ndege huku akina mama wakujifungua sakafuni au kukosa hela ya kulipia au upungufu wa vifaa tibana baadae kuishia kupoteza maisha?
Ungekuwa wewe ndio mzazi unaulizwa asaidiwe mama kujifungua au walipie goli. Ungechagua nini?
"Mambo ya msingi" ndiyo yepi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…