Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mumy,,,una uhakika?Hao ng'ombe vichanga pia wauza vyakula wanawanunua kupikia mishkaki, supu, nyama kwa mama ntilie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mumy,,,una uhakika?Hao ng'ombe vichanga pia wauza vyakula wanawanunua kupikia mishkaki, supu, nyama kwa mama ntilie.
Fika Buguruni pale angalia angalia wachoma nyama wale na wapika Supu za Jero utamuelewaMumy,,,una uhakika?
Kuna mdau alishasimulia humu hio wale wamama wa Buguruni huwahi pale Vingunguti asubuhi mapema na Vindoo vyao kuchukua chukua hayo mazaga pale Vingunguti mpaka kwato zinauzwa hakuna kisichouzwa pale, tafuta huo uzi usome utaelewa Jambo alafu unganisha dotsMumy,,,una uhakika?
Kupita baba zao na mama zao,kitu mfupa laini.Ni watamu?
Mkuu lazima utakuwa mnufaika na vichangaMjini hapa Fanya yako hivyo vichanga havijaanza leo kuuzwa na still mifugo kibao inaongezeka
Hata huko sipajuiMkuu lazima utakuwa mnufaika na vichanga
Sawa umenipinga, hoja yako ilikua ipi?Ng'ombe ni Wengi sana Wengi sana Wengi sana yaan usichukulie poa Ng'ombe ni Wengi sana ukiona wanauzwa mpaka wenye Mimba jua kuna Ng'ombe Wengi sana wenye Mimba sasa unataka wapelekee Wapi na Ng'ombe wote Wana Mimba na Tajiri anataka Pesa kwanini asiuze?
Kuna jamaa humu alidokeza hilo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe tule tu supu twaa jero jero tutamu sababu ni mimba changa!
Inawezekana lakini si rahisi kuna rushwa minadani asikuambie mtuNg'ombe wapimwe mimba kabla ya kuuzwa minadani...
ikionekana umenunua mjamzito faini laki moja.
Nani kasema tuulizie sie tulioko hukoooSidhani km mfugaji atauza ng'ombe wake mwenye mimba coz ni hasara kwake!!
Itokee mimba labda ilikuwa changa sana na mfugaji hakujua au ilipatikana huko safarini!!
Wote wana makosa ila mnadani kuna viongozi na kisheria mfugo mwenye mimba au mgonjwa hatakiwi kuuzwa ila wanauza kila siku ,afisa mifugo,Dr.wa mifugo wajibu wao kukagua mfugo ila hawakagui wao wanahesabu tu idadi na kuchukua pesa baasiMwenye kosa ni nani kati ya mfugaji na mnunuzi?
Hairuhusiwi ila ndo hvyo tenaKwa hiyo kuna sheria inayokataza kuchinja ng'ombe mwenye mimba?