DOKEZO Mamlaka ziko wapi? Machinjio ya Vingunguti karibia ng'ombe 100 wanapotea kila siku kwa uzembe wa kuchinja ng'ombe wenye mimba

DOKEZO Mamlaka ziko wapi? Machinjio ya Vingunguti karibia ng'ombe 100 wanapotea kila siku kwa uzembe wa kuchinja ng'ombe wenye mimba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwanini -msibane katika madini

MTU anauza mali yake then unampangia
 
Hujawahi fuga. Kama umefuga hujawahi kutana na shida! Nimeuziwa mbuzi,ng'ombe wenye mimba na kuku pamoja na mayai yake
Sidhani km mfugaji atauza ng'ombe wake mwenye mimba coz ni hasara kwake!!
Itokee mimba labda ilikuwa changa sana na mfugaji hakujua au ilipatikana huko safarini!!
Sikiliza wimbo huu mbaraka mwinshehe nadhani wewe ni kijana mdogo ndo unaitafuta miaka20 Kwa Sasa. Hujui shida Wala matatizo.

Hakikisha t
unasikiliza ni lazima sio ombi
 

Attachments

M
Inawezekana lakini si rahisi kuna rushwa minadani asikuambie mtu
Ujue kwanza mfugo yoyote mpk atoke mnadani anatakiwa Dr.wa mifugo athibitishe kwa mhuri na sahihi,lakini kinachofanyika ni kuweka sahihi ,kulipa permit na ushuru baasi ukaguzi big noo wao wanaangalia maokoto tu

Mimi hua naumia mnooo yaani mtu analeta mnadani mbuzi,kondoo au ng'ombe ina mimba kuubwa na maafisa mifugo wapo na hawafanyi lolote lile
Hii nchi kila sehemu ni hovyo tu.
Mkuu mfugaji Hana tatizo yeye lengo lake auze statue shida zake. Mara nyingi Huwa wanaamini wanaouziwa ni wafugaji wenzao hivo kuhusu kuchinjwa hawawazi Hilo.

Saivi sayansi ipo juu sana pale machinjioni ni kuweka kipimo tu kama ng'ombe ana mimba basi asichinjww lkn Kwa sababu ya uongozi mbovu ndo hutokea hayo yte!!

Mimi nakumbuka nikiwa standard 7 niliambiwa chinja mbuzi kulikuwa na wageni yule mbuzi alikuwa kanunuliwa mnadani asee baada ya kumchuna na kuona kichanga halafu Bado kinapumua nilijisikia vibaya mnoo!

Hadi Leo siwezi chinja mbuzi kondoo jike hata kama Hana mimba. Daah inauma sana.
 
Hairuhusiwi ila ndo hvyo tena
Nilikuwa sifahamu hicho kitu. Manake kuna jamaa namjua ananunuaga sana hivyo vitoto ambavyo havijazaliwa huko machinjoni kwa ajili ya kupikia mbwa wake bila wasiwasi kumbe ni biashara haramu ndio maana nimesoma hapahapa jf wanalalamika huko moshi napo nguruwe wenye mimba wanachinjwa
 
Hujawahi fuga. Kama umefuga hujawahi kutana na shida! Nimeuziwa mbuzi,ng'ombe wenye mimba na kuku pamoja na mayai yake

Sikiliza wimbo huu mbaraka mwinshehe nadhani wewe ni kijana mdogo ndo unaitafuta miaka20 Kwa Sasa. Hujui shida Wala matatizo.

Hakikisha t
unasikiliza ni lazima sio ombi
Mkuu kama una nyimbo nyingine za zamani naomba nirushie hata kwenye inbox yangu hapa jf
 

Attachments

Maskini nimeona huruma jamani mtafanya watu tusile nyama tena haaa
 
Nilikuwa sifahamu hicho kitu. Manake kuna jamaa namjua ananunuaga sana hivyo vitoto ambavyo havijazaliwa huko machinjoni kwa ajili ya kupikia mbwa wake bila wasiwasi kumbe ni biashara haramu ndio maana nimesoma hapahapa jf wanalalamika huko moshi napo nguruwe wenye mimba wanachinjwa
Yaani watu hawaogopi Mungu Kabisa
Daahhh
Wanaua kiumbe Hana hatia kabisaa
Ila ktk sekta ambazo waziri na wakuu wa odra ni useless ni mifugo jamani hakuna ufatiliaji kabisaa kuna mambo ya hovyooo mnooo
 
Maskini nimeona huruma jamani mtafanya watu tusile nyama tena haaa
Binamu tena ukiwa Dom
Usipende kula nyama labda mabucha ya uhakika
Yale ya sabasaba mengine wanauza nyama za Punda zinazochinjaa minadani
Sikutanii nakuambia kitu cha uhakika
Mishkaki ile ya 200 iogope
Mimi naongea kitu nachokijua
 
Binamu tena ukiwa Dom
Usipende kula nyama labda mabucha ya uhakika
Yale ya sabasaba mengine wanauza nyama za Punda zinazochinjaa minadani
Sikutanii nakuambia kitu cha uhakika
Mishkaki ile ya 200 iogope
Mimi naongea kitu nachokijua
Binamu ukisema hapa nikupeleke sabasaba sipajui!!

Mi nna mtu huwa ana bucha majengo ndiyo ananiletea!! Ila kama ni mnadani uwiii nishakula
 
Kulee bara la ASIA kuna nchi ambazo wanakula mayai ya kuku yenye vifalanga.naunapendwa sana huo mlo.
 
-Huo ni umbea tu..
Kuuza vichanga hivyo,ndo wapate faida kuliko kuuza ng'ombe na maziwa?
 
Back
Top Bottom