Mamlaka ziko wapi? Waziri Makamba anavunja Sheria za nchi mchana kweupe

Mamlaka ziko wapi? Waziri Makamba anavunja Sheria za nchi mchana kweupe

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Wakati anaapishwa kuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyowekwa kwa mujibu wa sheria.

Pia wakati anakula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma aliapa kutotumia cheo chake kutoa upendeleo kwa ndugu yake au rafiki yake kwenye kazi za umma sasa hiki anachokifanya cha kugawa mitungi ya Kampuni moja ya Taifa Gas je mamlaka zinazosimamia viapo vya viongozi ziko wapi.

Na kama jambo hili ni jema na halina hila yoyote ndani yake kwanini lisingetangazwa kwa uwazi ili Kampuni zote zinazouza gesi zishiriki mpango huo mzuri wa Serikali.

Makamba haoni kuitangaza kampuni moja pekee kwa kutumia ofisi ya Umma katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kunaweza kuwahariba biashara kampuni zingine zinazouza gesi maana wananchi wetu wanaweza kudhani hiyo ndio kampuni yenye ubora iliyopitishwa na Serikali.
 
Mamlaka ya wavunja sheria haina authority ya kumkemea huyo, naamini nae anajua hilo ndio maana anavunja sheria bila hofu.

- Fair Competition Act 2003.
 
Kampuni nyingine zimpelekee mitungi mingi tuone kama hatoigawa dawa ndio hiyo pelekeni mitungi ya kutosha kijiji kizima kila mkoa anapokwenda.
 
Itakuwa ni Siasa tu atenguliwe Watu waongeze points za kisiasa washajua Wabongo akili ndogo
 
Wakati anaapishwa kuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyowekwa kwa mujibu wa sheria.

Pia wakati anakula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma aliapa kutotumia cheo chake kutoa upendeleo kwa ndugu yake au rafiki yake kwenye kazi za umma sasa hiki anachokifanya cha kugawa mitungi ya Kampuni moja ya Taifa Gas je mamlaka zinazosimamia viapo vya viongozi ziko wapi.

Na kama jambo hili ni jema na halina hila yoyote ndani yake kwanini lisingetangazwa kwa uwazi ili Kampuni zote zinazouza gesi zishiriki mpango huo mzuri wa Serikali.

Makamba haoni kuitangaza kampuni moja pekee kwa kutumia ofisi ya Umma katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kunaweza kuwahariba biashara kampuni zingine zinazouza gesi maana wananchi wetu wanaweza kudhani hiyo ndio kampuni yenye ubora iliyopitishwa na Serikali.
Nipe nikupe, chukua Channel 10 tangaza biashara yangu.
 
Ndo muwerewe UMUHIMU WA Good governance!!!!

Hizi ndo Impacts za KAYAFA na bado
 
Wakati anaapishwa kuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyowekwa kwa mujibu wa sheria.

Pia wakati anakula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma aliapa kutotumia cheo chake kutoa upendeleo kwa ndugu yake au rafiki yake kwenye kazi za umma sasa hiki anachokifanya cha kugawa mitungi ya Kampuni moja ya Taifa Gas je mamlaka zinazosimamia viapo vya viongozi ziko wapi.

Na kama jambo hili ni jema na halina hila yoyote ndani yake kwanini lisingetangazwa kwa uwazi ili Kampuni zote zinazouza gesi zishiriki mpango huo mzuri wa Serikali.

Makamba haoni kuitangaza kampuni moja pekee kwa kutumia ofisi ya Umma katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kunaweza kuwahariba biashara kampuni zingine zinazouza gesi maana wananchi wetu wanaweza kudhani hiyo ndio kampuni yenye ubora iliyopitishwa na Serikali.

Yaani mtu ambaye sio muadilifu ndio mtegemee aonyeshe uadilifu kwenye hayo anayoyafanya sasa? Kama wanaweza kuchezea uchaguzi na kumuweka rais wamtakaye madarakani, ndio itakuwa hivyo vimitungi vya gas? Kwa ujumla kundi la kina Janury linaweza kufanya chochote ndani ya nchi hii na hakuna hatua yoyote watachukuliwa.
 
Kumbuka Roast-tamu ndiyo siri kuu ya mafanikio ya Royal Tour katika masuala ya ufadhili wa fedha.
 
Wakati anaapishwa kuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyowekwa kwa mujibu wa sheria.

Pia wakati anakula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma aliapa kutotumia cheo chake kutoa upendeleo kwa ndugu yake au rafiki yake kwenye kazi za umma sasa hiki anachokifanya cha kugawa mitungi ya Kampuni moja ya Taifa Gas je mamlaka zinazosimamia viapo vya viongozi ziko wapi.

Na kama jambo hili ni jema na halina hila yoyote ndani yake kwanini lisingetangazwa kwa uwazi ili Kampuni zote zinazouza gesi zishiriki mpango huo mzuri wa Serikali.

Makamba haoni kuitangaza kampuni moja pekee kwa kutumia ofisi ya Umma katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kunaweza kuwahariba biashara kampuni zingine zinazouza gesi maana wananchi wetu wanaweza kudhani hiyo ndio kampuni yenye ubora iliyopitishwa na Serikali.
Hiyo taifa Gas ndiyo ya Rostam Aziz ambaye amefadhili Royal Tour.

Sasa unadhani nini kitatokea?
 
Back
Top Bottom