4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Kwa anachofanya gwajima na Corona, angekuwa CDM tayari angeshawekwa nyuma ya nondo.
"Bita ni bita tu Mura". Mamluki wanapambana kikwelikweli kuvuruga upepo wa katiba mpya. Hata hivyo hawataweza. "The constitutional reform is inevitable drive under the current environment".Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.
Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.
View attachment 1873731
Habari ya mjini kwa makamanda ni:
1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.
View attachment 1873733
2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.
Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.
View attachment 1873719
Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.
Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.
Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?
Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.
Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.
Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.
Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?
Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
"Bita ni bita tu Mura". Mamluki wanapambana kikwelikweli kuvuruga upepo wa katiba mpya. Hata hivyo hawataweza. "The constitutional reform is inevitable drive under the current environment".
wewe usiyeamini wakati huna ushahidi ndio punguani namba moja zaidi hata ya DJ mwenyewe.Bado unaamini huu utoto kuna mtu ananunua zama hizi za kidigitali? Ww inaonekana ni mzee, au wale vijana maboya wanaovaa suruali zinazoingia subiyani, ndio maana unaamini hizi propaganda mfu zinaweza kuteka mtu. Ingekuwa ni kwenye mikutano ya wazi tena huko vijijini, ndio ungeweza kupata wajinga wawili watatu kwa kuamini huu upuuzi wako. Lakini sio huku mitandaoni kulikojaa vijana wanaojitambua. Kwa Uduni huu wa uelewa ndio maana unaona ccm wakitegemea wizi wa kura tu, maana hamna ushawishi tena kwa umma zaidi ya utoto.
Huwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.
Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.
View attachment 1873731
Habari ya mjini kwa makamanda ni:
1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.
View attachment 1873733
2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.
Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.
View attachment 1873719
Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.
Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.
Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?
Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.
Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.
Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.
Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?
Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
Huwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!
Watanzania walikuwa kwenye peak ya kuichoka CCM na kumsupport Dr Slaa, hali ingekuwaje?
Nakumbuka nilikuwa Arusha, zilikuwa siku kama 4 hali ni tense hamna mfano. Watu wako “full charged”. Wamejaa barabarani, hamna kulala! Ilikuwa inasubiliwa Dr Slaa atamke tu; sikubaliani na matokeo, nchi ingewaka moto!
Na hali ilikuwa hivyo mikoa mingi tu, Mbeya, Iringa, Mwanza, Dsm nk. Kwa ufupi ukisikia uwepo wa nguvu ya umma ilikuwa vile.
Lakini Dr. Slaa kwa busara zake aka withdrawal. Alipotea kama siku 4 bila kuongea chochote, hadi watu wakapoa kabisa. Baadaye alikuja kutamka hakuwa tayari kupokea nchi kwa mikono ya damu! Mungu ambariki!
Sasa ndugu zangu Hawa wa sasa waroho wa madaraka! Lissu katoka zake nje anahubiri vurugu tu!, akaanza kuchokoza hata polisi ili wa react na wananchi waanzishe vurugu. Baada ya uchaguzi alifikia kuwataka watu waingie mitaani! Lakini hakupata support hata kidogo! Kaimba imba wee ikabidi atafute gia ya kuondokea kwa kukimbilia ubalozini na kusingizia serikali inataka kumuua.
CHADEMA wasivyo na akili waliacha sera zinazogusa ”mass”kama kupinga rushwa, kuondoa kero za huduma mbovu za barabara, matibabu, maji, elimu wakaleta sera ya pinga pinga hata yanayowagusa watu na kufunga ndoa na ”mabeberu”, alafu bado wategemee “nguvu ya umma“! wanachekesha! Labda wawaambie wanaharakati wa Twitter wanaowaunga mkono waandamane.
Kauzi hakaendi ngoja tukachangamshe..mbona mnyika leo kaongea shudu tu ila kwa sauti ya ukali? Hajasema kitu kipya
Hizo nyimbo mbona mmeimba sana!Pole sana kwa kudhani unakijua unachokisema.
Kwamba ulifurahia mno kwa Dr. Slaa kuwaachia fisi butcher? Hakuna shaka utakuwa ulikuwa mmoja wa wale fisi!
Ulikula hapo kilo ngapi za kwako mkuu?
Hiiiiii bagosha!
Kwamba mnategemea amani:
Katiba Mpya: Ukweli Usiosemeka
Mazingira yanaoizunguka katiba mpya ni muhimu yakajulikana yote wazi wazi. Inafahamika kuwa CCM walio wanufaika wa katiba iliyopo, hawana sababu yoyote ya kujitia kitanzini kwa kuridhia ujio wa katiba mpya kirahisi. Kutokupatikana kwa katiba mpya kutaifanya CCM kuwa imefanikiwa katika...www.jamiiforums.com
Mmezoweo hakuna makabiliano? Ndiyo mnataka muendeleage kususiwa butcher tu? You must be kidding!
Safari hii:
1. Mkizungua, kinaumana.
2. Kutokushiriki uchaguzi maana yake hakuna uchaguzi.
Tutaelewana tu. Hizi si zama Dr. Slaa - Padre.
Habari ndiyo hiyo.
Hizo nyimbo mbona mmeimba sana!
Mara nyingi tu mnadanganyana JF na Twitter, lakini “hakiumanI”
Wafuasi wa Mbowe wako kwenye ”key board” tu! Mtaani watu tunajua ni muhuni fulani anayetaka madaraka tu. Au umesahau walivyompokea Lowasa walisema wao lengo lao ni kufika ikulu tu, kwa njia gani kwao siyo hoja! Mnafikiri watanzania ni wapumbavu kiasi hicho?
Kambarage hakuwa chadema ila aliivaa kaki......
Nimeanza na hii ya kwako..tarehe 5 usisahau kupinga uonevu ukiwa mtandaoni😂😂pia zingatia maelekezo ya wataalam kuhusiana na koonaKwani Wakudadavuwa ulishachangamsha nyuzi ngapi na ka ID chako hiki cha msa(h)ada?
View attachment 1875186
Wewe unaewasemea watz ni wa Rwanda au wapi?Watanzania hawataki shari na ukianzisha shari usitegemee wakakuuunga mkono , zaidi ya hapo watakuchukia na hata kukudharau na kutoungwa mkono amini usiamini ndio tulivyo.
Sawa hebu rushaKama huna charge sheet ya mbowe aliyosomewa kisutu sema nikurushie. wenzio wameshaelewa nilichomaanisha.
Nimeanza na hii ya kwako..tarehe 5 usisahau kupinga uonevu ukiwa mtandaoni😂😂pia zingatia maelekezo ya wataalam kuhusiana na koona
Vibaraka wa ccm mko kaxi kupiga katibaHuwa nafikiria Dr Slaa ndiyo angekuwa na akili za Lissu mwaka 2010!
Watanzania walikuwa kwenye peak ya kuichoka CCM na kumsupport Dr Slaa, hali ingekuwaje?
Nakumbuka nilikuwa Arusha, zilikuwa siku kama 4 hali ni tense hamna mfano. Watu wako “full charged”. Wamejaa barabarani, hamna kulala! Ilikuwa inasubiliwa Dr Slaa atamke tu; sikubaliani na matokeo, nchi ingewaka moto!
Na hali ilikuwa hivyo mikoa mingi tu, Mbeya, Iringa, Mwanza, Dsm nk. Kwa ufupi ukisikia uwepo wa nguvu ya umma ilikuwa vile.
Lakini Dr. Slaa kwa busara zake aka withdrawal. Alipotea kama siku 4 bila kuongea chochote, hadi watu wakapoa kabisa. Baadaye alikuja kutamka hakuwa tayari kupokea nchi kwa mikono ya damu! Mungu ambariki!
Sasa ndugu zangu Hawa wa sasa waroho wa madaraka! Lissu katoka zake nje anahubiri vurugu tu!, akaanza kuchokoza hata polisi ili wa react na wananchi waanzishe vurugu. Baada ya uchaguzi alifikia kuwataka watu waingie mitaani! Lakini hakupata support hata kidogo! Kaimba imba wee ikabidi atafute gia ya kuondokea kwa kukimbilia ubalozini na kusingizia serikali inataka kumuua.
CHADEMA wasivyo na akili waliacha sera zinazogusa ”mass”kama kupinga rushwa, kuondoa kero za huduma mbovu za barabara, matibabu, maji, elimu wakaleta sera ya pinga pinga hata yanayowagusa watu na kufunga ndoa na ”mabeberu”, alafu bado wategemee “nguvu ya umma“! wanachekesha! Labda wawaambie wanaharakati wa Twitter wanaowaunga mkono waandamane.
Sawa..ila kwanini mnyika katoa tarehe 5? Kasema makusudi ili azuiwe na mamlaka apate kisingizio kuwa walitangaza na kuzuiwa eeee..afu kamata wakwe zako machame wakadungwe huko koona inafanya yake
Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM.
Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2.
View attachment 1873731
Habari ya mjini kwa makamanda ni:
1. Mwenyekiti wao aliyeko nyuma ya nondo kwa tuhuma zisizokubalika kwao.
View attachment 1873733
2. Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya uliosimama.
Habari ya mjini kwa wale wa ule upande mwingine ni kupalilia utengamano wowote ndani ya mahasimu wao, kwa namna yoyote.
View attachment 1873719
Hawa kama wale wengine wa walioibuka majuzi kati Dar, wanaongea lugha moja na wale wa ule upande mwingine.
Je, huu ni mwanzo wa mbingu mpya ambapo sasa kuna kukaribiana zaidi miongoni mwa baadhi ya makundi haya? Jambo la kheri maana umoja ni nguvu.
Au labda ni mwendelezo ule ule wa kuunga mkono juhudi uliozoeleka kama au ule wa wale wabunge 19, kina Lijualikali na wenzao? Almaarufu chini ya mwamvuli wa kuunga mkono juhudi?
Kwa kukaribiana huku, bila shaka makundi mapya haya yatakuwa yanakubaliana na kilichotokea Mwanza na yote yatokanayo, zikiwamo tuhuma zinazomkabili mwenyekiti wao.
Hata hivyo kinachotia shaka, wanaoyafanya haya mbele ya camera za TV hawatoi uthibitisho wowote kuonyesha kuwa wao kweli ni makamanda.
Kwa vile haupo mlango uliofungwa ndani ya Chadema ukiwamo ule wa kutokea, haiingii akilini ni vipi basi hawajapenda kuunga mkono juhudi.
Iwapo kwa kuunga mkono tu wengi wamepata ubunge, uwaziri, u RC, uDC nk ni vipi makamanda hawa kuendelea kudai wao ni Chadema damu na kuzikosa fursa zote mbele zao?
Kwa nini kuendelea kukomaa kwao wasionekane kuwa ni mamluki tu ndani ya magwanda?
Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."Soma charge sheet, makosa hayo aliyafanay August, 2020, jalada lake lilihifadhiwa tu wakijaribu kumstahi, alipoanza kuleta ujinga ndio wakaamua wamwage mboga.
Wewe ukijiona una matobo matobo usianzishe ugomvi. na hii kitu nakumbuka kweli kabla ya uchaguzi mwaka jana morogoro au pwani kuna sheli ililipuliwa, na yeye kumbe ndio alikuwa anafadhili? Inawezekana alikuwa amepitiliza mstari kwa mikakati yake na lisu kwamba wafanya kitu kitakachosababisha fujo ili wagawane madaraka kama kenya au ili CCM ife baada ya watanzania kuchinjana.
Kwa kweli kama siasa ndio hiyo, bora nisiwe mwanasiasa, kwamba unaweza kuwa tayari kumwaga damu ili tu upoke madaraka? shida aliamini Rais ni mwanamke hatamfanya kitu, na alifikiri wanamuogopa na kwamba wamarekani wangemsaidia.