- Thread starter
- #41
Sawa..ila kwanini mnyika katoa tarehe 5? Kasema makusudi ili azuiwe na mamlaka apate kisingizio kuwa walitangaza na kuzuiwa eeee..afu kamata wakwe zako machame wakadungwe huko koona inafanya yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa..ila kwanini mnyika katoa tarehe 5? Kasema makusudi ili azuiwe na mamlaka apate kisingizio kuwa walitangaza na kuzuiwa eeee..afu kamata wakwe zako machame wakadungwe huko koona inafanya yake
Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."
Are you serious kweli wewe? Hivi ndiyo namna ya kupambana na uhalifu siku hizi huko katika serikali yenu nyie CCM....yaani "kuwastahi" magaidi kwa mwaka mzima mnasubiri "walete ujinga" ndiyo mnawashughulikia...?
Hiki ulichokiandika hapa si ajabu ndiyo unawakilisha mawazo ya Tanpol, TISS, CCM na serikali yake yote...
Kama hii ndiyo mbinu yenu mnayotumia kupambana na uhalifu kwa kuwa - stahi kwa muda basi kumbe nyie ndiyo majambazi na magaidi halisi...!!!
Ni ipi hiyo njia Mkubwa...?Hawana akili. Wanadhani kila mtu ni mburula kama wao. Wanadhani hii nchi ni yao peke yao. Ndivyo walivyo jiaminisha.
Ipo namna moja tu ya kuwafanya kuzirelejelea senses zao. Wanaijua njia hiyo. Na sisi tunaijua pia.
Safari hii tutaipita wote njia hiyo. Tutakutania katikati inshallah haki itashinda.
Mkuu ujue kuwa kuna maccm yanayovalishwa sare za Chadema ili kuongea ujinga wao dhidi ya Mbowe na hawa ni wengine hao maccm yanayojifanya ni Chadema.
Ni ipi hiyo njia Mkubwa...?
Hebu iweke wazi tu ili wajue kuwa hata ninyi mnaijua....!
Unajua unaposema tanzania kuna ugaidi, maana yake wawekezaji makini hawawezi kuja sababu nchi inaonekana si salama ata kidogo. Kwa hiyo kusema mbowe ni gaidi pia inaiharibia serikali ya ccm kwa kukosa wawekezaji. Ni win win situation!
Sawa hebu rusha
Ninasema, na mungu anasema nimetoka kwenye mfungo ,na sio Mara moja nafunga ,imekua kawaida Sana, ILA VYOMBO VYA ULINZI WA TAIFA HILI ,SIO VYOTE NAMANISHA
1.POLICE
2. TISS
MNALIPELEKA TAIFA KWENYE MACHAFUKO , NA UKOSEFU WA UTULIVU, KAMA HAMJAONA BASI MUNGU ANAKWAMBIENI, TAIFA LAKE LIMEKAA CHINI YA KUTI KAVU, ASEMA KIBRI NA MAZALAU YA WATU WAKE YAMEFIKA KIWANGO CHA JUU SANA,
AMEMALIZA
Tarehe 5 kupinga uonevu nenda kadungwe chanjo kisha uanzishe nyuzi tuelimike
Tarehe 5 kupinga uonevu nenda kadungwe chanjo kisha uanzishe nyuzi tuelimike
ndio, kwa akili ya kawaida, kama wangemshitaki mwaka jana soon before election, kwanza fujo zingekuwa nyingi hata uchanguzi usingefany ika, watu wangekufa pasipo sababu. halafu nikupe siri hii, serikali huwa inajua kila unachokifanya lakini huwa inapeleka kesi mahakamani ile yenye public interest tu, zipo nyingi tu majalada huwa yanawekwa kabatini na suspect hawafanywi kitu na pengine hata wao hawajui ili kulinda maslahi ya umma (amani, uchumi, siasa za kidunia, credibility ya gvmt etc). sasa ukiona umezidi kuwashika sharubu na umepitiliza mstari, huwa ni kwenda kuchukua tu kajalada na kukafufua, na kwenye sheria criminal case huwa haifi, unaweza kufanya kosa miaka 20 iliyopita, kama ushahidi upo wakakushitaki leo. mwaka jana miezi hiyo hiyo nakumbuka kuna sheli zililipuliwa kama mbili hivi na serikali ilipuuzia, yeye alijua amejificha. shwain.Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."
Are you serious kweli wewe? Hivi ndiyo namna ya kupambana na uhalifu siku hizi huko katika serikali yenu nyie CCM....yaani "kuwastahi" magaidi kwa mwaka mzima mnasubiri "walete ujinga" ndiyo mnawashughulikia...?
Hiki ulichokiandika hapa si ajabu ndiyo unawakilisha mawazo ya Tanpol, TISS, CCM na serikali yake yote...
Kama hii ndiyo mbinu yenu mnayotumia kupambana na uhalifu kwa kuwa - stahi kwa muda basi kumbe nyie ndiyo majambazi na magaidi halisi...!!!
ndio, kwa akili ya kawaida, kama wangemshitaki mwaka jana soon before election, kwanza fujo zingekuwa nyingi hata uchanguzi usingefany ika, watu wangekufa pasipo sababu. halafu nikupe siri hii, serikali huwa inajua kila unachokifanya lakini huwa inapeleka kesi mahakamani ile yenye public interest tu, zipo nyingi tu majalada huwa yanawekwa kabatini na suspect hawafanywi kitu na pengine hata wao hawajui ili kulinda maslahi ya umma (amani, uchumi, siasa za kidunia, credibility ya gvmt etc). sasa ukiona umezidi kuwashika sharubu na umepitiliza mstari, huwa ni kwenda kuchukua tu kajalada na kukafufua, na kwenye sheria criminal case huwa haifi, unaweza kufanya kosa miaka 20 iliyopita, kama ushahidi upo wakakushitaki leo. mwaka jana miezi hiyo hiyo nakumbuka kuna sheli zililipuliwa kama mbili hivi na serikali ilipuuzia, yeye alijua amejificha. shwain.