Mamluki ndani ya Magwanda ya Makamanda

Mamluki ndani ya Magwanda ya Makamanda

Sawa..ila kwanini mnyika katoa tarehe 5? Kasema makusudi ili azuiwe na mamlaka apate kisingizio kuwa walitangaza na kuzuiwa eeee..afu kamata wakwe zako machame wakadungwe huko koona inafanya yake
IMG_20210731_140133_374.jpg
 
Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."

Are you serious kweli wewe? Hivi ndiyo namna ya kupambana na uhalifu siku hizi huko katika serikali yenu nyie CCM....yaani "kuwastahi" magaidi kwa mwaka mzima mnasubiri "walete ujinga" ndiyo mnawashughulikia...?

Hiki ulichokiandika hapa si ajabu ndiyo unawakilisha mawazo ya Tanpol, TISS, CCM na serikali yake yote...

Kama hii ndiyo mbinu yenu mnayotumia kupambana na uhalifu kwa kuwa - stahi kwa muda basi kumbe nyie ndiyo majambazi na magaidi halisi...!!!

Hawana akili. Wanadhani kila mtu ni mburula kama wao. Wanadhani hii nchi ni yao peke yao. Ndivyo walivyo jiaminisha.

Ipo namna moja tu ya kuwafanya kuzirelejelea senses zao. Wanaijua njia hiyo. Na sisi tunaijua pia.

Safari hii tutaipita wote njia hiyo. Tutakutania katikati inshallah haki itashinda.
 
Hawana akili. Wanadhani kila mtu ni mburula kama wao. Wanadhani hii nchi ni yao peke yao. Ndivyo walivyo jiaminisha.

Ipo namna moja tu ya kuwafanya kuzirelejelea senses zao. Wanaijua njia hiyo. Na sisi tunaijua pia.

Safari hii tutaipita wote njia hiyo. Tutakutania katikati inshallah haki itashinda.
Ni ipi hiyo njia Mkubwa...?

Hebu iweke wazi tu ili wajue kuwa hata ninyi mnaijua....!
 
Mkuu ujue kuwa kuna maccm yanayovalishwa sare za Chadema ili kuongea ujinga wao dhidi ya Mbowe na hawa ni wengine hao maccm yanayojifanya ni Chadema.

Uzuri ni kuwa tunawajua na tunajua kuwa Mbowe ni kiboko yao na kwa hiyo mikumi mingine inamhusu.

Kwamba hawataki? Wakaonje sumu kwa ulimi. Kwani hata inawahusu nini wao?

Si wana vyama vyao? Vyenye katiba bora zaidi?

Walipo wamechachawa, wanashangaa fulu kujishebedua. Kwamba mbona bado jahazi liko imara?

Na bado!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni ipi hiyo njia Mkubwa...?

Hebu iweke wazi tu ili wajue kuwa hata ninyi mnaijua....!

Mkubwa unadhani hawajui kuwa na sisi tunaijua? Hukuwahi kusikia wakisema waswahili wa Pemba wanajuana kwa vilemba?

Hii ni kama ile njia iendayo uzimani. Njia ile iendayo uzimani ni nyembamba na ina dhiki, visa vingi, kamata kamata ya polisi na hata kubambikiziwa kesi.

Njia hiyo kamanda Mbowe anaipita hivi sasa. Tumesha mtolea wito rasmi awashauri kupanua magereza na hasa kupata stadiums zote zikiwamo zile za wazi:


Si muda mrefu tutakuwa Wageni wao huko. Kwa amani kabisa kwa makumi elfu, malaki na mamilioni yetu, tutakuwa tunawatembelea huko. Inshallah.

Habari ndiyo hiyo.
 
Unajua unaposema tanzania kuna ugaidi, maana yake wawekezaji makini hawawezi kuja sababu nchi inaonekana si salama ata kidogo. Kwa hiyo kusema mbowe ni gaidi pia inaiharibia serikali ya ccm kwa kukosa wawekezaji. Ni win win situation!
 
Unajua unaposema tanzania kuna ugaidi, maana yake wawekezaji makini hawawezi kuja sababu nchi inaonekana si salama ata kidogo. Kwa hiyo kusema mbowe ni gaidi pia inaiharibia serikali ya ccm kwa kukosa wawekezaji. Ni win win situation!

Mawazo duni kabisa kutokea IDs zile zile:

IMG_20210726_020708_268.jpg


"Ni win win situation?!" --- > Wakati unamdhulumu mtu haki yake!

Inahitajika kuwa mmiliki wa faili mirembe kuitumia lugha hiyo ya ma alumni wa huko kama alivyokuwa mzee baba (abakie huko huko Chatto).
 
Ninasema, na mungu anasema nimetoka kwenye mfungo ,na sio Mara moja nafunga ,imekua kawaida Sana, ILA VYOMBO VYA ULINZI WA TAIFA HILI ,SIO VYOTE NAMANISHA

1.POLICE

2. TISS
MNALIPELEKA TAIFA KWENYE MACHAFUKO , NA UKOSEFU WA UTULIVU, KAMA HAMJAONA BASI MUNGU ANAKWAMBIENI, TAIFA LAKE LIMEKAA CHINI YA KUTI KAVU, ASEMA KIBRI NA MAZALAU YA WATU WAKE YAMEFIKA KIWANGO CHA JUU SANA,

AMEMALIZA




Sawa hebu rusha
 
Ninasema, na mungu anasema nimetoka kwenye mfungo ,na sio Mara moja nafunga ,imekua kawaida Sana, ILA VYOMBO VYA ULINZI WA TAIFA HILI ,SIO VYOTE NAMANISHA

1.POLICE

2. TISS
MNALIPELEKA TAIFA KWENYE MACHAFUKO , NA UKOSEFU WA UTULIVU, KAMA HAMJAONA BASI MUNGU ANAKWAMBIENI, TAIFA LAKE LIMEKAA CHINI YA KUTI KAVU, ASEMA KIBRI NA MAZALAU YA WATU WAKE YAMEFIKA KIWANGO CHA JUU SANA,

AMEMALIZA

Wanasema Moro Jazz:

"Mwana wacha kupiga mayowe, waache waone wenyewe!"
 
Sure mkuu ,utawashanga ccm wanaipenda CHADEMA, nje ya kumpa kesi ya UGAIDI mh Mbowe lengo tu police na serikali wawe wanamuona na kunywa mvinyo KWa furaha wakati wengine wakipandishwa vyeo ,utawasikia KAZI nzuri kamada wakiambiana

Ila Bado wanajivika mavazi ya Chadema na kuita press ,achia mbali kushashadia Mambo ya chadema, CCM NA WATU WAKE NOT UP TO DATE AT ALL ,Wamebakiza dola , ila MUNGU anasema CHADEMA ITAWASHINDA CCM NA VYOMBO VYA DOLA NA IMEKUA,

ILA TUWEKE KUMBUKUMBU SAWA NA VYOMBO VYA DOLA VISIKIE

Taifa likiingia kwenye MACHAFUKO, siku ya siku,IGP hutopona mbele za macho ya mahakama za kimatifa ICC, ata uwe kigongwe chukua mfano wa Rwanda

DIWANI upande wa Tiss ,hutopona pia mbele ya macho ya mahakama za kimataifa,

Viongonzi katika mikoa na wilaya katika mlengo huo hapo juu hamtapona nawambia

Nawaeshim Sana ,JWTZ , Hawa mungu awalinde lakini ,tumieni nafasi yenu vizuri kumshauri Rais , hatuna sabababu ya kufika pabaya ili Hali nyie mpo , nyie ndo kila kitu, msiwafumbie macho Hawa ,why tz Tufike pabaya ili Hali Mambo ya kisiasa na Kama wote walivyo au tulivyo wanasiasa ukiondoa nyie yanaweza zungumzika wakuu,

Hatutaki press ila fanyeni Jambo ,wananchi wamebaki kuwaona nyie Kama tegemeo lao ,that's uraiani twaishi vizuri Sana na nyie, ukiniuliza ni marafiki wangapi ninayo na tunaoeshimiana Sana nje ya majukum ya KAZI ,nitakwambia wengi wapo JWTZ, MAGEREZA, na sio vinginevyo ,wengine nipo nao kiunafiki tu basi
 
Hivi ukichajua kuwa mtu fulani ni mhalifu tena wa UGAIDI unaweza kumstahi na kusubiri kile ulichokisema "...alipoanza kuleta ujinga ndipo wakaamua kumwaga mboga..."

Are you serious kweli wewe? Hivi ndiyo namna ya kupambana na uhalifu siku hizi huko katika serikali yenu nyie CCM....yaani "kuwastahi" magaidi kwa mwaka mzima mnasubiri "walete ujinga" ndiyo mnawashughulikia...?

Hiki ulichokiandika hapa si ajabu ndiyo unawakilisha mawazo ya Tanpol, TISS, CCM na serikali yake yote...

Kama hii ndiyo mbinu yenu mnayotumia kupambana na uhalifu kwa kuwa - stahi kwa muda basi kumbe nyie ndiyo majambazi na magaidi halisi...!!!
ndio, kwa akili ya kawaida, kama wangemshitaki mwaka jana soon before election, kwanza fujo zingekuwa nyingi hata uchanguzi usingefany ika, watu wangekufa pasipo sababu. halafu nikupe siri hii, serikali huwa inajua kila unachokifanya lakini huwa inapeleka kesi mahakamani ile yenye public interest tu, zipo nyingi tu majalada huwa yanawekwa kabatini na suspect hawafanywi kitu na pengine hata wao hawajui ili kulinda maslahi ya umma (amani, uchumi, siasa za kidunia, credibility ya gvmt etc). sasa ukiona umezidi kuwashika sharubu na umepitiliza mstari, huwa ni kwenda kuchukua tu kajalada na kukafufua, na kwenye sheria criminal case huwa haifi, unaweza kufanya kosa miaka 20 iliyopita, kama ushahidi upo wakakushitaki leo. mwaka jana miezi hiyo hiyo nakumbuka kuna sheli zililipuliwa kama mbili hivi na serikali ilipuuzia, yeye alijua amejificha. shwain.
 
ndio, kwa akili ya kawaida, kama wangemshitaki mwaka jana soon before election, kwanza fujo zingekuwa nyingi hata uchanguzi usingefany ika, watu wangekufa pasipo sababu. halafu nikupe siri hii, serikali huwa inajua kila unachokifanya lakini huwa inapeleka kesi mahakamani ile yenye public interest tu, zipo nyingi tu majalada huwa yanawekwa kabatini na suspect hawafanywi kitu na pengine hata wao hawajui ili kulinda maslahi ya umma (amani, uchumi, siasa za kidunia, credibility ya gvmt etc). sasa ukiona umezidi kuwashika sharubu na umepitiliza mstari, huwa ni kwenda kuchukua tu kajalada na kukafufua, na kwenye sheria criminal case huwa haifi, unaweza kufanya kosa miaka 20 iliyopita, kama ushahidi upo wakakushitaki leo. mwaka jana miezi hiyo hiyo nakumbuka kuna sheli zililipuliwa kama mbili hivi na serikali ilipuuzia, yeye alijua amejificha. shwain.

1. Uliwahi kusikia serikali ina bambikizia watu kesi?

2. Uliwahi kusikia taasisi za serikali zikiwamo polisi na takukuru zimekuwa zikibambikizia watu kesi?

3. Uliwahi kusikia tatizo hili limekuwa sugu zaidi tokea awamu ya tano Sirro akiwa ndiye IGP?

4. Uliwahi kusikia Sirro ameokoka lini kiasi kuwa bambikizi zimekwisha na sasa Sirro ana maadili ya msingi tu kuanza kuwatamka Yesu na Mungu hadharani?

Mambo mengine mbona hata watoto wadogo watawazodoa?
 
Back
Top Bottom