God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
jane bana vepee nlikua sijaionaPicha ya nini tena? Hiyo 1 inatosha.
Uwivu gani sasa umekunywa chibuku nini?acha wivu wewe!
Labda hajui maana ya neno wivu.Uwivu gani sasa umekunywa chibuku nini?
Huo mwanya au pengo jamani? Tujaribu kuwa wakweli japo mara 1 kwa mwaka. Itatusaidia sana maishani.Duhh!! Huo mwanya sasa.. Kazuri.
Jane Lowassa acha wivu. Mimi nimeona mwanya mzuri.Huo mwanya au pengo jamani? Tujaribu kuwa wakweli japo mara 1 kwa mwaka. Itatusaidia sana maishani.
Da Jane mambo? Ule msaada wako vipi aisee? AhsanteHuo mwanya au pengo jamani? Tujaribu kuwa wakweli japo mara 1 kwa mwaka. Itatusaidia sana maishani.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] eti mrembo,,,yule ni mtangazaji wa kike anaejua kutangaza hatukatai,anatangaza vizuri na ana sauti nzuri sana ila hana uzuri kabisa,,kwanza ana mdomo mrefu kama kijiko na amepigwa pasiNachelea kusema huyu Dada ni kati ya presenter Bora .... Bora saanaa kuwahi kutokea hapa karibuni.
Anatishaaa... Hakika Pengo la Fetty limezibika vilivyo.
Aliye na picha ya mtoto huyu mrembo please..!!! Lazima ni mrembo tu.
Proud of her.
Kabla ya kwenda Radio Five Arusha kalikuwa kanatangaza Sunrise fm ya Arusha..Alikuwa Radio 5 kabla ya kwenda EA Radio kabla ya Fisadi Ruge Mtahaba kumuona na kumng'oa. Nilianza kumsikiliza na kumadmire nilipokuwa Arusha kupitia Radio 5. Ana sauti ya utangazaji na it's something naturally given. Sauti yake ni so distinct kiasi kwamba utamjua tu hata akienda RTD. Fetty haingizi mguu hapo
Wa kawaida au ni below average mkuuWa kawaida mbona
Sauti yake imetulia kwa kweli, ina mvuto fulani hivi kumsikilizaAlikuwa Radio 5 kabla ya kwenda EA Radio kabla ya Fisadi Ruge Mtahaba kumuona na kumng'oa. Nilianza kumsikiliza na kumadmire nilipokuwa Arusha kupitia Radio 5. Ana sauti ya utangazaji na it's something naturally given. Sauti yake ni so distinct kiasi kwamba utamjua tu hata akienda RTD. Fetty haingizi mguu hapo
Ana uzuri wa kisukuma
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
Na Pilipili lakini!Katamu unamaana kanalika?
Jane kuna usemi unasema...ukipenda, chongo utaita kengeza.Huo mwanya au pengo jamani? Tujaribu kuwa wakweli japo mara 1 kwa mwaka. Itatusaidia sana maishani.
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.