Mammy Baby wa Clouds... What a Presenter.!!

Mammy Baby wa Clouds... What a Presenter.!!

Kwa kweli sio mzuri
Mungu kampa saut nzuri sura kamnyima, kweli hakupi vyote hakunyang'anyi vyte pia

Ila alo mfaninisha na mr domo kaniacha hoi hahahha
 
6096fabb2842f6b659b5d2608d4cd76e.jpg

Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
Kosa Sura Pata Zegembe! !
 
Alikuwa Radio 5 kabla ya kwenda EA Radio kabla ya Fisadi Ruge Mtahaba kumuona na kumng'oa. Nilianza kumsikiliza na kumadmire nilipokuwa Arusha kupitia Radio 5. Ana sauti ya utangazaji na it's something naturally given. Sauti yake ni so distinct kiasi kwamba utamjua tu hata akienda RTD. Fetty haingizi mguu hapo
Ni kweli tokea akiwa Radio 5 kipindi cha Funiko Base,sauti yake ni ya kipekee sana haichuji
 
Mbona mzur tu pesa bado haijachanganya na kiyoyoz huyo.....unamkumbuka zamarad alivyokuwa kabla na sasa....
Huyu binti namkumbuka alivyokua C2C mtukwao,alikuwa wa 4 ukiambiwa now anasumbua wenzie huamini,nginjinginji kitu kimoja kibaya sana.
 
Back
Top Bottom