Mammy Baby wa Clouds... What a Presenter.!!

Kwa kweli sio mzuri
Mungu kampa saut nzuri sura kamnyima, kweli hakupi vyote hakunyang'anyi vyte pia

Ila alo mfaninisha na mr domo kaniacha hoi hahahha
 
Ni kweli tokea akiwa Radio 5 kipindi cha Funiko Base,sauti yake ni ya kipekee sana haichuji
 
Mbona mzur tu pesa bado haijachanganya na kiyoyoz huyo.....unamkumbuka zamarad alivyokuwa kabla na sasa....
Huyu binti namkumbuka alivyokua C2C mtukwao,alikuwa wa 4 ukiambiwa now anasumbua wenzie huamini,nginjinginji kitu kimoja kibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…