Japo tumeumbiwa, mbavu zinatofautianaHahaha mkuu usiogope mizinga tumeumbiwa sisi wanaume mkuu
Kweli mkuu ngoja niingie jimbo soon kitu kitakuwa hewaniHaha ipo siku nami nitamfungukia mtu humu. Usiogope hiki ndio kipindi kizuri cha kumaliza mwaka na mafanikio ya urafikio[emoji2] [emoji2]
Ni mama mtu mzima mwenye busara zake. Si wakispotipoti hata kidogoOoh kumbe mkuu unamjua nipe hata description tu aisee
..jiangalie,mtoto wa kiume wewe;Uwii
Tatizo lenu ni moja soma uzi wapi imeandikwa nampenda ufikiriavyo stress zenu zinawapa mihemko tulia tafakari chukua hatua[emoji23] [emoji23] [emoji23] bora umemwambia penda penda hakujawahi kumwacha mtu salama.Mwishowe wanakumbana na majini chaa
Aisee pambana na hisia zako..btw sijakumention nimem-quote mwingine naona unaanza kunivaa mie kwahyo unanipangia cha kuandika sio?Tatizo lenu ni moja soma uzi wapi imeandikwa nampenda ufikiriavyo stress zenu zinawapa mihemko tulia tafakari chukua hatua
Hicho ulichoandika mbona hakiendani na uzi ndio maana mnaishia kulia lia humu even a very simple thread unashindwa kuilewa aisee bado tuna kazi kubwa sana ktk TZ ya viwandaAisee pambana na hisia zako..btw sijakumention nimem-quote mwingine naona unaanza kunivaa mie kwahyo unanipangia cha kuandika sio?
Mkuu hii kawaida sana maana nilivyo soma nikaona hivyo ila sijui wengine wameonaje[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hii kali