ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Kevin ni noma sana uyo dogoguardiola alivyosemaga mchezaji mkali zaidi kwake katika historia ya ufundishaji ni de bryne nilidhani anatania
Arsenal ya 2003/2004Nipo hapa nashuhudia wakitoa kipigo cha mwizi kwa Totenham Spurs cha goli 4. Daaah, hawa jamaa msimu huu aisee, wananikumbusha Arsenal ya msimu wa 2004/2005.
Msimpe misifa yote kumbuka msimu uliopita alitoka kapaGuardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
HahaaaaGuardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Mourinho atakimbia kweliLigi imeshaisha
morinyo lazma amkimbie Guardiola
mkuu hapo ni kweli wamekukumbusha mbali ila pole sana maana inahitaji courage kuwa arsenal fan!wananikumbusha Arsenal ya msimu wa 2004/2005.
Nae muongo sasa De Bruen anamzidi Messi na Gaucho??guardiola alivyosemaga mchezaji mkali zaidi kwake katika historia ya ufundishaji ni de bryne nilidhani anatania
Mbona siku ya Manchester United dakika za mwisho walikuwa wanapoteza muda kwa kugongesha mpira kwa wachezaji wa Man united ili uwe wa kurushwa?Hawa jamaa wanachonifurahisha ni kwamba wana spirit ya ajabu sn. Ukiwaangalia dakika ya 80, utafikiri mpira ndo unaanza. The very same spirit wanayokuwa nayo kusaka goli la kwanza, ndo hiyo hyo wanakuwa nayo wanapokufunga goli la 5, hata kama ni dakika ya 88 na wewe hujafunga hata moja.
But it was funny, au we ulionaje...??Mbona siku ya Manchester United dakika za mwisho walikuwa wanapoteza muda kwa kugongesha mpira kwa wachezaji wa Man united ili uwe wa kurushwa?