Man City hii sasa sifa, khaaa..!!!

Man City hii sasa sifa, khaaa..!!!

Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe

Hahahahahaha!!
 
Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
210ce15a943219c7e8f2addcf5629e20.jpg
 
Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Msimpe misifa yote kumbuka msimu uliopita alitoka kapa
 
Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Hahaaaa
 
Hawa jamaa wanachonifurahisha ni kwamba wana spirit ya ajabu sn. Ukiwaangalia dakika ya 80, utafikiri mpira ndo unaanza. The very same spirit wanayokuwa nayo kusaka goli la kwanza, ndo hiyo hyo wanakuwa nayo wanapokufunga goli la 5, hata kama ni dakika ya 88 na wewe hujafunga hata moja.
Mbona siku ya Manchester United dakika za mwisho walikuwa wanapoteza muda kwa kugongesha mpira kwa wachezaji wa Man united ili uwe wa kurushwa?
 
Back
Top Bottom