mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
HahahahahaGuardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Atapigwa Moja ndefu na man[emoji90]ra [emoji23][emoji23]Guardiola naona ligi za ulaya anazionea sana aisee. Kama yeye kichwa aje VODACOM PREMIER LEAGUE, akiweza kweli atakuwa kashindikana. Hapa atapigwa juju mpka atakimbia. Wachezaji vichwa vigumu mixer uchawi...!!! Atahama mwenyewe
Aisee kweli wewe ni jitu jeusi yaani unaona nyeusi nyeusi tu yaani 18 games win 17 unasema tunampa sifaMsimpe misifa yote kumbuka msimu uliopita alitoka kapa
Kabisa mkuuIlitakiwa iwe tano aisee
Aisee Mimi mwenyewe mzee wa liver lakini this season nimenyanyua mikono kwa cityGuadiolla apewe tu Kombe lake...
TeheteheteheteheBut it was funny, au we ulionaje...??
Hawa jamaa wanachonifurahisha ni kwamba wana spirit ya ajabu sn. Ukiwaangalia dakika ya 80, utafikiri mpira ndo unaanza. The very same spirit wanayokuwa nayo kusaka goli la kwanza, ndo hiyo hyo wanakuwa nayo wanapokufunga goli la 5, hata kama ni dakika ya 88 na wewe hujafunga hata moja.
Yeah!, mna mpa misifa. Lakini kitendo cha kushida mechi 17 anastahiri pongezi nyingi tu.Aisee kweli wewe ni jitu jeusi yaani unaona nyeusi nyeusi tu yaani 18 games win 17 unasema tunampa sifa
game ya arsenal walibebwaJamaa anatunyoosha, yani mpaka hivi sasa Everton peke yake ndiye kanusurika kaambulia suluhu, wampe tu kombe lake.Yaani jamaa wakikufunga hauna cha kuongea, maana wanakuzidi kila kitu kuanzia magoli,kona, shot on target, shot off taprget na possession zote zao, labda wewe utawazidi kadi za njano na nyekundu.
Sasa atakimbilia wapi? Ureno amaLigi imeshaisha
morinyo lazma amkimbie Guardiola
Yeah!, mna mpa misifa. Lakini kitendo cha kushida mechi 17 anastahiri pongezi nyingi tu.
Mm ntampa misifa kama yenu endapo next season akifanya kama hichi anachofanya
Kwann nasema mnampa misifa????
Msimu uliopita aliharibu kwaiyo msimu huu kifanya hivyo tunasema neutralization(kwenye chemistry).
Pia kumbuka kunakitu kinaitwa winning spirit kama unakumbuka Leicester alivyofanya yake kipindi cha nyuma + chelsea last season........ ndo maana nasema tusimpe misifa hadi next season afanya kama anachofanya sasa
Bila ya shaka wewe ni mmoja wa wakereketwa wa anachokifanya Guardiola ndani ya EPL kwa sasa.Yeah!, mna mpa misifa. Lakini kitendo cha kushida mechi 17 anastahiri pongezi nyingi tu.
Mm ntampa misifa kama yenu endapo next season akifanya kama hichi anachofanya
Kwann nasema mnampa misifa????
Msimu uliopita aliharibu kwaiyo msimu huu kifanya hivyo tunasema neutralization(kwenye chemistry).
Pia kumbuka kunakitu kinaitwa winning spirit kama unakumbuka Leicester alivyofanya yake kipindi cha nyuma + chelsea last season........ ndo maana nasema tusimpe misifa hadi next season afanya kama anachofanya sasa
De Bruyne anapiga interception??? How?Unstoppable halafu mchanganyiko wake anakufunga kila mchezaji kuanzia beki
Halafu wanapiga pace za counter attack ya kasi sana -hizi modifications za tick taka Pep sijui kazitoa wapi?haiwezekani mpira ana possess yeye, foward wakabia juu yaani wakipoteza mpira strikers wanaukimbiza utadhani wao ni watu wa mwisho
Left &right flank Reheem&Lorey Sane wote wana kasi centre Kelvin Debrune yeye namuita Messi wa EPL anapiga interceptions na akiwa na mpira hapotezi ,aisee Team imekamilika
De Bruyne anapiga interception??? How?
Silva Na de bruyne wanatisha sio mchezo
Zamani alikuwa una favour timu IPI vileManchester City is my favorite team of time
Arsenal walienda msimu mzima UNDEFEATED.wamevunja record ya arsenal ya kushinda mechi 15 hawa wameshinda mechi 16...ni mabingwa hawa nawaangalia UCL