Man City ndiyo team bora kwa sasa duniani

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Kwa mujibu wa BBC sport news Man city ndiyo team ambayo kwa sasa inacheza soka bora zaidi katika ligi zote bora nne dunia, yaan spain,German,Italy na England yenyewe. wameangalia namna team inavyomiliki mpira, namna Gardiola alivyo boresha viwango vya wachezaji wake, matokeo ambayo team inapata na ukubwa wa kikosi .
ikumbukwe hii kwa mjibu wa siku za karibuni,
mimi nakubaliana na hili , sijui wewe?
 
Nlkuwa nabishana na watu ,nkawaambia jamaa ss hv wako safi wakabisha
Wakafikia hatua wakasema hata Ubingwa bado sana
Nkaona hawa machizi
Mtu ana 70 na kitu
Anayemfata ana 50 na kitu useme hatakuwa bingwa
Binafsi nawakubali mnooo
 
Kuna timu kama Barca ambayo mpaka sasa haijafungwa mechi yoyote kwenye ligi yake, kuna Bayern timu inayoongoza ligi kwa zaidi ya points 20.
Kwa upande wa UEFA ni kugumu, hauwezi kusema Barca au Madrid tu ndio wanaoweza kumzuia Man City wakati kuna timu kama Liverpool, Man United, Totenham ambao kila siku wanatoana jasho kwenye ligi.
 
Guys guys, Mpira wa kutandaza nafikiri unachezwa na almost every spanish team. Just kwa sababu anaongoza EPL kwa point 16 haimaanishi kuwa eti ndio team bora Europe nzima. Kwanza kuongoza kwake ligi akiwa na point nyingi sio jambo zuri when it comes to perfomance. Mimi ni EPL fan, lakini ninachokiona ni kuwa hii ligi imepoteza muelekeo tangu Leceister alivochukua kombe. Timu zimekuwa zina struggle kupindukia, na hii ikitokea, basi utakuta kuna timu inaibuka kidedea kiurahisi zaidi. Nnachoweza kusema kuwa, Man City ndio team Pekee ambayo inanafasi nzuri kuliko timu yoyote ya EPL kwa sasa kwenye Europe, lakini siwezi kusema kuwa eti ndio team bora Europe. Arsenal haikuwa team bora Europe na alimaliza msimu hakupoteza mechi ata moja.


When it comes to Man city and Uefa, bado atulie tu kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…