Man eat man society

Man eat man society

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Poleni sana majirani, karibuni Tanzania muweze kuishi maisha yaliyojaa Utu, Upendo, uungwana na mshikamoni. Inaoneka hilo kampuni limeanzishwa kwa ajili ya kabila maalumu, hawa sio kutoka kabila husika, wameingia choo cha Kike.
 

Poleni sana majirani, karibuni Tanzania muweze kuishi maisha yaliyojaa Utu, Upendo, uungwana na mshikamoni. Inaoneka hilo kampuni limeanzishwa kwa ajili ya kabila maalumu, hawa sio kutoka kabila husika, wameingia choo cha Kike.

Formula ya GDP ulipata my illeterate brother? Karibu Kenya and get quality education uwache ushamba wa St.kayumba
 
Hahahaha, wakenya ninawachungulia kwa mbali, ninaona jinsi povu linavyoruka angani, limechanganyika na vumbi.

Man eat man Society (Mwl. Nyerere)
 

Poleni sana majirani, karibuni Tanzania muweze kuishi maisha yaliyojaa Utu, Upendo, uungwana na mshikamoni. Inaoneka hilo kampuni limeanzishwa kwa ajili ya kabila maalumu, hawa sio kutoka kabila husika, wameingia choo cha Kike.

🤣 🤣 😱haha nimecheka sana mkuu...ila pole zao hao vijana, mjini shule, nguvu kijijini....wakayauguze mapumbunyo yao pole pole tu watapoaa...
 
Nchi inayowajali RAIA wake, wakati huko Kibera wananchi hupigwa na POLISI kila siku, mauaji na uchafu uliokithiri, Tandale wanajengewa soko la kisasa lenye ghorofa mbili, barabara zote zinawekwa lami na wameshasambaziwa MAJI safi na usalama.
 
Hahahaha, wakenya ninawachungulia kwa mbali, ninaona jinsi povu linavyoruka angani, limechanganyika na vumbi.

Man eat man Society (Mwl. Nyerere)
Laziest Countries in Africa
1. Tanzania
2. Burundi
3. Swaziland
4. Lesotho
5. Equatorial Guinea
6. Congo
7. Southern Sudan
8. Cape Verde
 
Hahahaha, wakenya ninawachungulia kwa mbali, ninaona jinsi povu linavyoruka angani, limechanganyika na vumbi.

Man eat man Society (Mwl. Nyerere)
Ukiona ukifungua nyuzi baada ya nyingine, Kuna kitu nyumbani hakipo sawa. Tuambie tafadhali ama nimwage mtama bro 🙊🙊
 
Back
Top Bottom