Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii Man Fongo amedai BASATA walitaka kufungia waimbo wake wa hainaga ushemeji lakini akawatuliza na kuwaambia hayo ni mambo ambayo yapo labda wenyewe wanaishi nyakati zilizopita ial kwa sasa mambo hayo yanatokea sana na wakamsifu kuwa alitumia mafumbo