raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kwangu dada akiwa na miguu mizuri sura sio issue sana kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi hapa waliambizana kuhusu vitumbua vikubwa viloumuka. (camel nini sijui)Kwenye chura tena mmeshahama [emoji2296]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanasababisha wanawake wa watu wanavaa vigodoro vya papuchi ili tu wavimbeJuzi hapa waliambizana kuhusu vitumbua vikubwa viloumuka. (camel nini sijui)
Sijui wana nini hawa!
Wapenda cameltoe..vigodoro vya papuchi niliviona kariakoo nilicheka sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanasababisha wanawake wa watu wanavaa vigodoro vya papuchi ili tu wavimbe
Ukiwasikiliza hawa viumbe unaweza jiona una kasoro hufai kabisa kuishi
Hahahha mna dhambi sana nyie viumbe mmewavalisha vigodoro vya chura havitoshi vya papuchi tena sasa hivi mnahangaika na miguuWapenda cameltoe..vigodoro vya papuchi niliviona kariakoo nilicheka sana.
Hata hapo kwenye wowowo wanataka la kunesa nesa.Mnatuchanganya sasa!!!!
Wakati wenye mawowo tunavimba, mshachange gia tena...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanaume vivyo hivyo,miguu yao husadifu yaliyomo ndani.achana na sixpack,sijui misuli mkononi...we cheza na miguu tu ndo utajua huyu ni bamia au tango
Weee usiniambieIla wakuu guu lipewe heshima yake tafadhalii, wadada wenye guu la shampein mna nafasi kubwa sana kwenye maisha yangu [emoji23][emoji23]
Hahaha nanyi mnachange ivo ivo.Mnatuchanganya sasa!!!!
Wakati wenye mawowo tunavimba, mshachange gia tena...
Acha kabisa..Mimi ni mlevi wa miguu mizuri.Ila wakuu guu lipewe heshima yake tafadhalii, wadada wenye guu la shampein mna nafasi kubwa sana kwenye maisha yangu [emoji23][emoji23]