Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Ni ngumu kujua uamuzi wa kutoa when comes kitu kinaitwa mapenziBut.he.was.not supposed to kill
haaahaaa amani gerezani tenaofcoz yes kwa sasa atakuwa na amani sana hata huko gerezani
hahaaa inavuruga akili aiseeeeYaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .
kabisa mkuuwanawake dawa yao ni kutafuna na kusepa toka lini kunguru akafugika?
ulitaka akadai mahakamani!!..hao nguruwe hyo ndo dawa yaoBut.he.was.not supposed to kill
aiseeeee kuna yule askari mwingine toka Kenya alikimbiwa namkeweNdugu yangu wanawake waajabu sana ndugu yangu tumetoka mkoa moja alimsapoti sana demu wake chuoni hadi akapambana na kuhonga apate kazi ili waje wayaishi chaajabu kufika ofisi ile ya uma mwanamke anatoka na Afisa mwajiri tena mtu mzima...nakumkebehi jamaa kwa bahasha imewekwa 50k na barua yakumshukuru kwa msaada na eti moyo huo huo jamaa aonyeshe kwa wengine jamaa ni askari alikunywa vidonge afe lakini aliponea hospital ila demu alivyoachwa huku askari yule mambo yalimnyookea kajenga ,gari ya kutembelea na moja ya biashara demu akaanza kusumbua warudiane na kupitia kwa shangazi mtu amuombee radhi....hapo ndo ujue akili ya mademu wanaijua wao heri uwe nae usimjali kwa lolote kuliko kuja kuumia
Ipo poa tu sio wote wako hivyohahaaa inavuruga akili aiseeee
Arent they????you can't blame him, he has invested a lot of money in her and at the end she betrays him. he was right. these hoes ain't loyal
Wa kwetu hawa ndio waswahili, wahuni na washenzi. Wanapohitaji huduma, hujiona waaminifu lakini akishatimiza malengo yao dharau kwa saana tu.Eehh asee afu inaonyesha ni kenyans hawa!
wanawake wasaliti sana aseee pia wabinafsi kupitiliza.
SafiMan kill his girlfriend because she refused to marry him after he sponsored her in the university for 5years.
Girls don't eat what you can not payback.
Don't say Yes with your mouth
But Say Yes with your mind.
Mtoto mzur upo?[emoji32]
Si utanivunja miguu sasa nikikucheat? Halafu kaka mzuri ule mpango wa vitu vikali leo unafaa sana hali ya hewa shirikishi.Mtoto mzur upo?
Wewe nakusomesha
Afu wewe.Si utanivunja miguu sasa nikikucheat? Halafu kaka mzuri ule mpango wa vitu vikali leo unafaa sana hali ya hewa shirikishi.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sijakukimbia nimekwambia subiri CDM wachukue nchi.Afu wewe.
Si unanikimbia kimbiaga?
Sasa si ndio kunikimbia?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sijakukimbia nimekwambia subiri CDM wachukue nchi.
Twende kwa wolper ? Ila masharti uvae kichupi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sijakukimbia nimekwambia subiri CDM wachukue nchi.
Usiache...ila akili yako iwe tayari kW lolote yaan chukulia kama unatoa msaada...don't expect love n returnYaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .