Man of God

Man of God

Kwa namna akina Petro walivyokuwa wakitembea Wayahudi waliwauliza nyinyi ni wanafunzi wa Yesu?

Sasa Ghafla huyu ndo pasta wangu aaah sio kweli 🤣
 

Mathayo 7:15-20 BHN​

ā€œJihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!
Basi, mti mzuri huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya. Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni. Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.
Naam
 
Back
Top Bottom