Man of the match: Papy Kabamba Tshishimbi

Man of the match: Papy Kabamba Tshishimbi

Wanalishana ujinga mwingi wa matopeni. Jana nimemsikia Kibaden akisema Kuna mtu wa Simba atapita hat trick leo. Uzee unamjia vibaya sana.
Naye mapengo Kibonde alijaa kejeli nyingi kwenye kipindi cha Jahazi.
Upuuzi huu, huwafanya mbumbumbu kwenda na matokeo uwanjani
 
Papy Kabamba Tshishimbi au Aishi Manula, mmoja wao ndio man of the match. Nashangaa hawa Pimbi kumtangaza Kichuya!


Afu hawa Azam Sports ni pimbi sn ktk kuonesha Highlights za Yanga.

Sijui yana Wivu na Manji!

Simba shukuruni Aishi Manula.
N wajbu wake aiseee huyo Manula
 
Atajwa kuwa ni nyota wa mchezo

c704d485ff119b632114a42a2797e029.jpg


d7dbd0c03a7a1e2b56b5367c28671502.jpg
Mara ya pili kweli jamaa anajua
 
Unaijua namba na position anayocheza Papý?
Yap anacheza namba 6 na leo pia alucheza iyoiyo ila baada ya kuingia Pato ilibid Papy acheze namb 8 ambapo alkuwa huru zaid....na Cmba wakaliona ilo akaingizwa Mkude ili kumkabil na alifanikiwa kwa kiac kikubwa
 
Ila yang tunachangamoto ya kipa Manula yuko poa sana ni mwepesi na anajua kupunguza goli ila wetu ana kauzito flani
 
Back
Top Bottom