Man United itamfukuza Ten Hag baada ya Fainali ya FA Cup

Man United itamfukuza Ten Hag baada ya Fainali ya FA Cup

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1716571274720.png

Tetesi kutoka katia vyanzo vya ndani ya Klabu ya Manchester United zimedai kuwa Kocha Erik ten Hag anatarajiwa kufukuzwa kazi mara baada ya mchezo dhidi ya Manchester City katik Fainali ya Kombe la FA, kesho Mei 25, 2024.

Taarifa kutoka Gazeti la The Guardian zinaeleza kuwa mmoja wa wamiliki wa klabu hiyo, Sir Jim Ratcliffe amechukua uamuzi huo bila kujali matokeo ya Fainali, hiyo ni kutokana na mwenendo mbovu wat imu hiyo.

Inadaiwa makocha wanaopewa nafasi ya kupewa mikoba ni Thomas Tuchel, Mauricio Pochettino, Kieran McKenna, Thomas Frank na Graham Potter.

===

Manchester United have reportedly decided to sack Erik ten Hag regardless of the outcome of Saturday's FA Cup final.

The Dutch coach has endured a difficult second season at Old Trafford, finishing eighth in the Premier League - the club's lowest finish since 1990 - and falling short in the Champions League and Carabao Cup.

While they have made the FA Cup showpiece at Wembley, they begin as underdogs against rivals Manchester City.

According to The Guardian, United co-owners Sir Jim Ratcliffe and Ineos have decided to dispense with Ten Hag even if they upset the odds and beat City.

Thomas Tuchel, Mauricio Pochettino, Kieran McKenna, Thomas Frank and Graham Potter will reportedly be considered as a replacement for Ten Hag.

The move would represent the most decisive action since Ratcliffe and Ineos completed their purchase of a 27.7 per cent stake from the Glazer family last December, taking over control of football operations.

They have wasted no time in reshaping United's executive structure and sketching out plans to rebuild Old Trafford but have remained non-committal over Ten Hag's future in recent weeks.

The only way United can qualify for European football next season is by beating City, which would earn them a spot in the UEFA Europa League.

After a strong first season in charge after joining from Ajax, which saw Ten Hag guide United to a third place finish in the Premier League and Carabao Cup success, they have slipped backwards.

United's European campaign was over by Christmas after they finished bottom of a group featuring Bayern Munich, Copenhagen and Galatasaray, while Newcastle knocked them out the Carabao Cup.

Source: DailyMail
 
Eti bila kujali matokeo ya fainali 😁😁😁😁😁
Kwani kuna matokeo mengine zaidi ya haya tunayoyajua?
 

Tetesi kutoka katia vyanzo vya ndani ya Klabu ya Manchester United zimedai kuwa Kocha Erik ten Hag anatarajiwa kufukuzwa kazi mara baada ya mchezo dhidi ya Manchester City katik Fainali ya Kombe la FA, kesho Mei 25, 2024.

Taarifa kutoka Gazeti la The Guardian zinaeleza kuwa mmoja wa wamiliki wa klabu hiyo, Sir Jim Ratcliffe amechukua uamuzi huo bila kujali matokeo ya Fainali, hiyo ni kutokana na mwenendo mbovu wat imu hiyo.

Inadaiwa makocha wanaopewa nafasi ya kupewa mikoba ni Thomas Tuchel, Mauricio Pochettino, Kieran McKenna, Thomas Frank na Graham Potter.

===

Manchester United have reportedly decided to sack Erik ten Hag regardless of the outcome of Saturday's FA Cup final.

The Dutch coach has endured a difficult second season at Old Trafford, finishing eighth in the Premier League - the club's lowest finish since 1990 - and falling short in the Champions League and Carabao Cup.

While they have made the FA Cup showpiece at Wembley, they begin as underdogs against rivals Manchester City.

According to The Guardian, United co-owners Sir Jim Ratcliffe and Ineos have decided to dispense with Ten Hag even if they upset the odds and beat City.

Thomas Tuchel, Mauricio Pochettino, Kieran McKenna, Thomas Frank and Graham Potter will reportedly be considered as a replacement for Ten Hag.

The move would represent the most decisive action since Ratcliffe and Ineos completed their purchase of a 27.7 per cent stake from the Glazer family last December, taking over control of football operations.

They have wasted no time in reshaping United's executive structure and sketching out plans to rebuild Old Trafford but have remained non-committal over Ten Hag's future in recent weeks.

The only way United can qualify for European football next season is by beating City, which would earn them a spot in the UEFA Europa League.

After a strong first season in charge after joining from Ajax, which saw Ten Hag guide United to a third place finish in the Premier League and Carabao Cup success, they have slipped backwards.

United's European campaign was over by Christmas after they finished bottom of a group featuring Bayern Munich, Copenhagen and Galatasaray, while Newcastle knocked them out the Carabao Cup.

Source: DailyMail
Hv ashafukuzwa au bado?

🤣🤣🤣 tz bhn
 
Kwa watu makini,

Lingekuwa Jambo la ajabu Erik Ten Hag kufukuzwaa..

Man united inamatatizo mengii zaiidiiiii ya kutazama nafasi ya ukocha tu.

Wamefanya uamuzi sahihi kumbakiza kocha Erik.
 
Kwa watu makini,

Lingekuwa Jambo la ajabu Erik Ten Hag kufukuzwaa..

Man united inamatatizo mengii zaiidiiiii ya kutazama nafasi ya ukocha tu.

Wamefanya uamuzi sahihi kumbakiza kocha Erik.
Kabisa, kocha anaasilima 40 tuu y matokeo y uwanjani…

60 nzima n management na uongoz kwa ujumla
 
Back
Top Bottom